Mawakili wa Mansour wawasilisha hati ya kuomba dhamana
Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MAWAKILI wanaomtetea waziri wa zamani wa Zanzibar, Mansour Yussuf Himid, wamewasilisha rasmi ombi la dhamana chini ya hati ya dharura (certificate of urgency) katika Mahakama Kuu ya Zanzibar ambayo ndiyo yenye uwezo wa kutoa dhamana kwa aina ya makosa aliyoshtakiwa nayo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Katibu wa Kamati ya Maridhiano Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, ilieleza kuwa mawakili hao, Fatma...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Mahakama: Mansour ana haki ya dhamana
![Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Mansour-Yusuf-Himid.jpeg)
Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MAHAKAMA Kuu ya Zanzibar, imesema haina pingamizi na ombi la dhamana kwa aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembesamaki, Mansour Himid Yussuf.
Imesema kutokana na ombi hilo, mahakama imebaini kuwa limezingatia vigezo vyote vya kisheria.
Ombi hilo la dhamana liliamuliwa jana baada ya mawakili wa upande wa utetezi na Serikali kuvutana kisheria mahakamani hapo.
Baada ya mabishano hayo ya kisheria, anayesikiliza ombi...
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Mansour aachiwa kwa dhamana Z’bar
10 years ago
KwanzaJamii19 Aug
HATIMAYE MANSOUR HIMID AACHILIWA KWA DHAMANA
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Chamamata wawasilisha maoni ya Rasimu
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Yanga wawasilisha katiba TFF
BAADA ya wanachama wa Yanga kupitisha mabadiliko kwenye katiba yao Juni Mosi, uongozi wao umeyawasilisha rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ili iweze kupitiwa na kwenda kwa msajili. Katika...
11 years ago
Habarileo04 Jan
Marekani wawasilisha majina Bunge la Katiba
KUNDI la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) wamewasilisha majina tisa Ikulu ya Dar es Salaam kwa ajili ya Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kuteua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Habarileo25 Dec
CUF wawasilisha taarifa za hesabu kwa CAG
BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi CUF, limesema chama hicho kimeandaa na kuwasilisha taarifa za fedha za chama hicho na kuziwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa na kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serika (CAG).
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Wadau wawasilisha maombi kuzuia miswada ya habari
11 years ago
MichuziWATAFITI WAWASILISHA RIPOTI ZA TAFITI ZAO MKUTANO WA NIMR
NIMR wameingia katika siku ya pili ya mkutano wao wa 28 wa Mwaka pamoja na Kongamano la Wanasayansi Watafiti linaloendelea jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.