Chamamata wawasilisha maoni ya Rasimu
Siku moja kabla ya kufunga vikao vya kujadili mapendekezo ya Rasimu inayopendekezwa ndani ya Bunge la Katiba, Chama Cha Madereva wa Malori Tanzania (Chamamata) kimewasilisha maoni yake kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo ili yaingizwe kwenye rasimu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLUMOJA WA MACHIFU TANZANIA (UMT) WAWASILISHA MAPENDEKEZO YAO KUHUSIANA NA RASIMU YA KATIBA MPYA
11 years ago
GPL25 Jan
SLAA: ASILIMIA 72 YA MAONI TULIYOKUSANYA YAMO KWENYE RASIMU YA PILI YA KATIBA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
WADAU WA SHUGHULI ZA UZALISHAJI NA UTAFUTAJI GESI,MAFUTA WATOA MAONI RASIMU YA SERA YA PETROLI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrGBCz-EHV8/U5iY9Q-hfsI/AAAAAAAFp0c/4QLXH1nTkwE/s1600/unnamed+(76).jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Kamati mbalimbai zawasilisha maoni yao uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya Rasimu ya Katiba Mpya
Mwenyekiti wa Kamati namba mbili (2) Shamsi Vuai Nahodha akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba tano Assumpter Mshama akiwasilisha maoni ya wajumbe wa Kamati yake leo mjini Dodoma juu ya uchambuzi wa sura ya kwanza na sita ya wa rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IlzQiVwnqx0/VACEZvdghSI/AAAAAAAGT5Y/0QarrlfcWmo/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
kongamano la kupata maoni ya wadau kuhusu rasimu ya sera ya Petroli lafunguliwa leo jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlzQiVwnqx0/VACEZvdghSI/AAAAAAAGT5Y/0QarrlfcWmo/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cpxI0EdzyO8/VACEZC56yGI/AAAAAAAGT5U/UJOVqJPwSEU/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Chamamata yawasaka UKAWA
WANACHAMA wa Chama cha Madereva wa Magari Makubwa Tanzania (Chamamata), wanatarajia kuandaa muswada utakaotetea haki zao kwa ajili ya kuukabidhi kwa wabunge wa upinzani ili wakawasemee bungeni. Wamedai uamuzi huo unatokana na...
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA WADAU WA KUPOKEA MAONI JUU YA SERA YA TAIFA YA MAGEREZA WAMALIZIKA WILAYANI BAGAMOYO, KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA APONGEZWA KWA KUFANIKISHA RASIMU HIYO
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Yanga wawasilisha katiba TFF
BAADA ya wanachama wa Yanga kupitisha mabadiliko kwenye katiba yao Juni Mosi, uongozi wao umeyawasilisha rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ili iweze kupitiwa na kwenda kwa msajili. Katika...
11 years ago
Habarileo04 Jan
Marekani wawasilisha majina Bunge la Katiba
KUNDI la Watanzania waishio Marekani (DICOTA) wamewasilisha majina tisa Ikulu ya Dar es Salaam kwa ajili ya Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kuteua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.