Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chamamata yawasaka UKAWA

WANACHAMA wa Chama cha Madereva wa Magari Makubwa Tanzania (Chamamata), wanatarajia  kuandaa muswada utakaotetea haki zao kwa ajili ya  kuukabidhi kwa wabunge wa upinzani ili wakawasemee bungeni. Wamedai uamuzi huo unatokana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chamamata wawasilisha maoni ya Rasimu

Siku moja kabla ya kufunga vikao vya kujadili mapendekezo ya Rasimu inayopendekezwa ndani ya Bunge la Katiba, Chama Cha Madereva wa Malori Tanzania (Chamamata) kimewasilisha maoni yake kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo ili yaingizwe kwenye rasimu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Interpol yawasaka Wachina 30

Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ethiopia yawasaka wasafirishaji haramu

Huku Ulaya ikiendelea kukabiliwa na idadi kubwa ya wahamiaji, Ethiopia inaendelea na msako mkali wa wasafirishaji haramu wanaowahadaa maelfu ya raia wanaotafuta maisha bora Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Guinea yawasaka maafisa waliotekwa

Guinea imeanza msako kuwatafuta maafisa wa afya walioshambuliwa siku mbili zilizopita wakiwa wameenda kijijini kuwahamasisha watu

 

10 years ago

Vijimambo

Interpol yawasaka Wachina 30 kwa ujangili wa tembo



Kamishna wa Interpol Tawi la Tanzania, Gustav Babile
Dar/Dodoma. Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China ambao wanatuhumiwa kusafirisha meno ya tembo na kufanya uharamia wa kimazingira katika hifadhi za Taifa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wizara ya Afya yawasaka waliokaidi amri ya Magufuli

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Donan Mmbando ameziagiza idara zote zinazotoa huduma chini ya ofisi yake kumpa ripoti ya watumishi waliokwenda nje ya nchi baada ya Rais John Magufuli kupiga marufuku safari hizo isipokuwa kwa kibali kutoka Ikulu.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria

Wizara ya Mambo ya Ndani imeanza operesheni ya kuwasaka raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria ili warudishwe makwao.

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao  wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu  kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani