WATAFITI WAWASILISHA RIPOTI ZA TAFITI ZAO MKUTANO WA NIMR
Mtafiti wa Magonjwa ya Binadamu kutoka Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu Tanzania (NIMR), Dk. Kijakazi Mashoto akiasilisha utafiti wake juu ya Ugonjwa wa Kipindupindu alioufanya Mkoa wa Pwani katika Wilaya ya Kisarawe.
NIMR wameingia katika siku ya pili ya mkutano wao wa 28 wa Mwaka pamoja na Kongamano la Wanasayansi Watafiti linaloendelea jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Baadhi ya Wanasayansi Watafiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 NIMR NA KONGAMANO LA WANASAYANSI WATAFITI LEO
10 years ago
Vijimambo10 Jul
NIMR Yazinduwa Ripoti Kuyakabili Magonjwa ya TB, Maleria na Tropiko
![Kutoka kushoto ni Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mbando , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kitengo cha Utafiti cha Magonjwa ya Binadamu cha Taifa (NIMR), Dk. Julius Massaga wakizinduwa kitabu cha utafiti kitakachosaidia uboreshaji mfumo wa huduma za afya, uandaaji wa ajenda za kitafiti juu ya utafiti wa mifumo wa afya wa magonjwa ya kifua kikuu na maleria na pamoja na magonjwa ya kitropiki (NTD).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0040.jpg)
![Mwanasayansi, mtafiti na mshauri wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk. Olumide Ogundahunsi ambaye alishiriki kufanikisha kitabu cha utafiti kitakachosaidia uboreshaji mfumo wa huduma za afya, uandaaji wa ajenda za kitafiti juu ya utafiti wa mifumo wa afya wa magonjwa ya kifua kikuu na maleria na pamoja na magonjwa ya kitropiki (NTD). Kulia ni Ofisa Mwakilishi wa Shirika la UNDP na Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk. Bwijo Bwijo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0059.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
NIMR yazindua ripoti kuyakabili magonjwa ya TB, Malaria na Tropiko
![Kutoka kushoto ni Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mbando , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kitengo cha Utafiti cha Magonjwa ya Binadamu cha Taifa (NIMR), Dk. Julius Massaga wakizinduwa kitabu cha utafiti kitakachosaidia uboreshaji mfumo wa huduma za afya, uandaaji wa ajenda za kitafiti juu ya utafiti wa mifumo wa afya wa magonjwa ya kifua kikuu na maleria na pamoja na magonjwa ya kitropiki (NTD).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0040.jpg)
Kutoka kushoto ni Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mbando , Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kitengo cha Utafiti cha Magonjwa ya Binadamu cha Taifa (NIMR), Dk. Julius Massaga wakizinduwa kitabu cha utafiti kitakachosaidia uboreshaji mfumo wa huduma za afya, uandaaji wa ajenda za kitafiti juu ya utafiti wa mifumo wa afya wa magonjwa ya kifua kikuu na maleria na pamoja na magonjwa ya kitropiki (NTD).
![Mwanasayansi, mtafiti na mshauri wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk. Olumide Ogundahunsi ambaye alishiriki kufanikisha kitabu cha utafiti kitakachosaidia uboreshaji mfumo wa huduma za afya, uandaaji wa ajenda za kitafiti juu ya utafiti wa mifumo wa afya wa magonjwa ya kifua kikuu na maleria na pamoja na magonjwa ya kitropiki (NTD). Kulia ni Ofisa Mwakilishi wa Shirika la UNDP na Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk. Bwijo Bwijo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0059.jpg)
Mwanasayansi, mtafiti na mshauri wa Shirika la Afya Duniani...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watafiti wanavyolipigania zao la mhogo
9 years ago
StarTV15 Nov
Wataalamu wa afya wahimizwa kutumia taaluma zao kwakufanya tafiti
Wataalamu wa Sekta ya afya nchini wanapaswa kutumia taaluma yao kutafiti na kugundua visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii hali itakayosaidia Serikali kukabiliana na magonjwa husika.
Tafiti zinaonyesha kuwa magonjwa mengi yamekuwa yakiikumba jamii kutokana na kukosekana kwa watalaamu wa kubaini visababishi vya maradhi hayo.
Mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Sayansi ya tiba cha KCMU College kilichopo mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro Prof.Elgibert Kessy anaona ipo haja kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s72-c/DSCF4679.jpg)
Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-JDRu-dVEreo/VOr6os8iPZI/AAAAAAAHFXQ/wH7IV7r8G58/s1600/DSCF4679.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
NIMR Mwanza wafanya mkutano wa wadau kuhusiana na madhara ya Pombe kwa vijana
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya Taifa ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) tawi la Mwanza mapema Machi 25 mwaka huu imeendesha warsha ya wadau mbalimbali kuhusiana na Madhara ya Pombe kwa vijana kufuatia utafiti uliofanywa katika maeneo kadhaa ya Tanzania, ikiwemo Mkoa wa Kilimanjaro.
Warsha hiyo iliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo Madaktari, wakuu wa idara za Polisi barabarani, wakuu wa Taasisi za Afya na mashirika ya kupiga vita matumizi ya vileo na...
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
RIPOTI MAALUM:Mabadiliko ya Tabianchi yalivyoathiri zao la mpunga Mkoani Morogoro kwa virusi vya Ugonjwa wa Kimyangu
Mwandishi wa Makala haya, Andrew Chale, ambaye pia ni Mhariri wa mtandao (blog) ya modewjiblog.com, akiwa katika moja ya shamba la Mpunga la Mkulima Bwana Nguji, Kijiji cha Mtimbira, Wilayani Ulaanga Mkoa wa Morogoro -Tanzania hivi karibuni. ( Picha na modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Morogoro, Tanzania] Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 90, kuelekea mkutano mkuu wa 21 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiriko ya Nchi (COP21) unaotarajiwa kufanyika Paris , Ufaransa, Desemba mwaka...