RIPOTI MAALUM:Mabadiliko ya Tabianchi yalivyoathiri zao la mpunga Mkoani Morogoro kwa virusi vya Ugonjwa wa Kimyangu
Mwandishi wa Makala haya, Andrew Chale, ambaye pia ni Mhariri wa mtandao (blog) ya modewjiblog.com, akiwa katika moja ya shamba la Mpunga la Mkulima Bwana Nguji, Kijiji cha Mtimbira, Wilayani Ulaanga Mkoa wa Morogoro -Tanzania hivi karibuni. ( Picha na modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Morogoro, Tanzania] Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 90, kuelekea mkutano mkuu wa 21 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiriko ya Nchi (COP21) unaotarajiwa kufanyika Paris , Ufaransa, Desemba mwaka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Ripoti Maalum: Mabadiliko ya tabianchi yaathiri visiwa vya Mafia nchini Tanzania
Moja ya eneo lililoaribika kutokana na hali ya mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) katika fukwe ya Kilindoni, katika Kisiwa cha Mafia, Mkoani Pwani, nchini Tanzania. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Afisa Mazingira wa Wilaya ya Mafia, Bw. Gideon Zakayo
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[MAFIA-ISLAND] Kisiwa cha Mafia kijografia kipo karibu na mlango wa Mto Rufiji kusini mwa Tanzania.
Hata hivyo, Kisiwa hichi ambacho ni Wilaya moja wapo ya Mkoa wa Pwani inakabiriwa kwa kiwango...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
RIPOTI MAALUM: Mabadiliko ya tabianchi yanavyo athiri wakulima nchini Kenya
Dk. Paul Andre Calatayud ambaye ni miongoni mwa wanasayansi wanaofanya utafiti wa wadudu katika taasisi ya wadudu ya ICIPE kwenye mradi wa CHIESA (Climate Change Impacts on Ecosystem Services and Food security) iliyopo Kenya akionyesha wandishi wa habari waliotembelea katika eneo la Taita-Taveta, wakati wa utafiti huo.
Na Andrew Chale, Taita-Taveta, Kenya
[Taita Taveta, Kenya] Ni safari ya zaidi ya masaa saba (7), kwa gari kutoka mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuelekea hadi Kaunti ya Taita...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DSC_0005.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA MABADILIKO YA TABIANCHI
10 years ago
Michuziripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kuwasilishwa Peru
9 years ago
VijimamboWADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA FEDHA ZA MISAADA YA MABADILIKO YA TABIANCHI
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) yanavyoleta wimbi la magonjwa na wadudu kwenye zao la mahindi
Mkuu wa mradi wa utafiti Dk. Paul-Andre Calatayud, kutoka IRD/icipe, (kulia) akiwa tolea maelezo juu ya mdudu anayeharibu zao la mahindi, stem borer (Bungu/viwavi/funza) kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) katika eneo la kijiji cha Kipuzi kwenye Kaunti ya Taita Taveta, Mombasa nchini Kenya.Kushoto kwake ni Joel ambaye ni mwenye shamba hilo lililo katika utafiti huo.
Na Andrew Chale, aliyekuwa Mombasa, Kenya
Imefahamika kuwa mimea mingi hasa mazao ya chakula inaandamwa na magonjwa ya...
5 years ago
MichuziVIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC SASA KUFANYIKA KWA NJIA YA VIDEO KUEPUKA KITISHO CHA KUSAMBAA KWA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
NCHI za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika( SADC) zimechukua hatua ya vikao vyake kikiwemo cha Baraza la Mawaziri katika nchi hizo kufanya vikao kwa njia ha Video ikiwa ni moja ya mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa Corona ( CODIC -19 ).
Akizungumza leo Machi 10 mwaka 2020 ,Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert Ibuge amesema kuwa hatua hizo zimetokana na ushauri uliotolewa katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-688gDdE8XCE/XntrMp_N7zI/AAAAAAALlA8/X5wDULOKjisVMirWwLmkAElfzz7JTWkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/0ac0cdc6-8372-4b7d-9515-d183e1fcd04f.jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI ARIDHISHWA NA HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA TANESCO MKOANI MOROGORO KATIKA KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA
NAIBU Waziri wa Nishati Subiri Mgalu ameamua kufanya ziara ya kushtukiza katika ofisi Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Morogoro kwa lengo la kuuangalia kama maelezo yote ambayo yametolewa na Serikali kwa ajili ya kujinga na maambukizi ya virusi vya COVID-19 (CORONA) kama yamezingatiwa.
Angalau amefanya ziara hiyo leo Machi 25 mwaka 2020 na akiwa kwenye ofisi hizo za TANESCO mkoani Morogoro amepata nafasi ya kuangalia sehemu ambazo zimetengwa kwa ajili kunawa mikono kwa wateja na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mabadiliko ya tabianchi yaathiri vyanzo vya maji
UJUMBE wa mwaka huu wa kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ni: “Chukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.” Maadhimisho hayo yanayofanyika Juni 5 ya kila mwaka, kitaifa hapa nchini...