Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIPOTI MAALUM: Mabadiliko ya tabianchi yanavyo athiri wakulima nchini Kenya

DSC_0419Dk. Paul Andre Calatayud ambaye ni miongoni mwa wanasayansi wanaofanya utafiti wa wadudu katika taasisi ya wadudu ya ICIPE kwenye mradi wa CHIESA (Climate Change Impacts on Ecosystem Services and Food security) iliyopo Kenya akionyesha wandishi wa habari waliotembelea katika eneo la Taita-Taveta, wakati wa utafiti huo.

Na Andrew Chale, Taita-Taveta, Kenya

[Taita Taveta, Kenya] Ni safari ya zaidi ya masaa  saba (7), kwa gari kutoka mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuelekea  hadi Kaunti ya Taita...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ripoti Maalum: Mabadiliko ya tabianchi yaathiri visiwa vya Mafia nchini Tanzania

DSC_2410

Moja ya eneo lililoaribika kutokana na hali ya mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) katika fukwe ya Kilindoni, katika Kisiwa cha Mafia, Mkoani Pwani, nchini Tanzania. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Afisa Mazingira MafiaAfisa Mazingira wa Wilaya ya Mafia, Bw. Gideon  Zakayo  

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[MAFIA-ISLAND] Kisiwa cha Mafia kijografia kipo karibu na mlango wa Mto Rufiji kusini mwa Tanzania.
Hata hivyo, Kisiwa hichi ambacho ni Wilaya moja wapo ya Mkoa wa Pwani inakabiriwa kwa kiwango...

 

9 years ago

Dewji Blog

RIPOTI MAALUM:Mabadiliko ya Tabianchi yalivyoathiri zao la mpunga Mkoani Morogoro kwa virusi vya Ugonjwa wa Kimyangu

Mwandishi wa makala hii Andrew Chale akishuhudia mpunga huoMwandishi wa Makala haya, Andrew Chale, ambaye pia ni Mhariri wa mtandao (blog) ya modewjiblog.com, akiwa katika moja ya shamba la Mpunga  la Mkulima Bwana Nguji, Kijiji cha Mtimbira, Wilayani Ulaanga  Mkoa wa Morogoro -Tanzania hivi karibuni. ( Picha na modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Morogoro, Tanzania] Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 90, kuelekea mkutano mkuu wa 21 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiriko ya Nchi (COP21) unaotarajiwa kufanyika Paris , Ufaransa, Desemba mwaka...

 

9 years ago

GPL

WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA MABADILIKO YA TABIANCHI‏

Mwenyekiti wa bodi ya Forum CC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika leo  jijini Dar   Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu Forum CC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira...

 

10 years ago

Michuzi

ripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kuwasilishwa Peru

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge (wa kwanza kushoto), akipokea ripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kutoka kwa Uester Kibona ambaye ni mwenyekiti wa Asasi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira (FORUM CC). Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Injinia Binilith Satano Mahenge  (wa kwanza kushoto) na Naibu Waziri  Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu (wa pili...

 

9 years ago

Vijimambo

WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA FEDHA ZA MISAADA YA MABADILIKO YA TABIANCHI

Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika jijini Dar  Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira  waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi 
 Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya akitoa somo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Mabadiliko tabianchi chanzo migogoro wafugaji, wakulima’

MIGOGORO mingi ya wakulima na wafugaji hapa nchini imeelezwa kuchangiwa na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Jaji wa Mahakama Kuu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini ataka wananchi wa vijijini wasaidiwe kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi

IMG_4025

Mratibu  wa  mradi  wa  kudhibiti  wanyama  wakali  kwa kutumia   waya  na   mitii  maalumu  inayohimili  ukame  unaofadhiliwa na UNDP  Dr. Maurus  Msuha akitoa maelezo kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) alipotembelea miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika la UNDP  wilayani Longido  mkoani  Arusha  katika  ziara  yake  ya  siku mbili mara baada ya kuwasili wilayani humo....

 

11 years ago

Habarileo

Mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kuanzishwa

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inatarajia kuanzisha Mfuko wa Fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ambayo miongoni mwa athari zake ni uharibifu wa mazingira.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko ya tabianchi kuathiri umeme

MABADILIKO ya tabianchi yametajwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani