RIPOTI MAALUM: Mabadiliko ya tabianchi yanavyo athiri wakulima nchini Kenya
Dk. Paul Andre Calatayud ambaye ni miongoni mwa wanasayansi wanaofanya utafiti wa wadudu katika taasisi ya wadudu ya ICIPE kwenye mradi wa CHIESA (Climate Change Impacts on Ecosystem Services and Food security) iliyopo Kenya akionyesha wandishi wa habari waliotembelea katika eneo la Taita-Taveta, wakati wa utafiti huo.
Na Andrew Chale, Taita-Taveta, Kenya
[Taita Taveta, Kenya] Ni safari ya zaidi ya masaa saba (7), kwa gari kutoka mji mkuu wa Kenya, Nairobi kuelekea hadi Kaunti ya Taita...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Ripoti Maalum: Mabadiliko ya tabianchi yaathiri visiwa vya Mafia nchini Tanzania
Moja ya eneo lililoaribika kutokana na hali ya mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) katika fukwe ya Kilindoni, katika Kisiwa cha Mafia, Mkoani Pwani, nchini Tanzania. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Afisa Mazingira wa Wilaya ya Mafia, Bw. Gideon Zakayo
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[MAFIA-ISLAND] Kisiwa cha Mafia kijografia kipo karibu na mlango wa Mto Rufiji kusini mwa Tanzania.
Hata hivyo, Kisiwa hichi ambacho ni Wilaya moja wapo ya Mkoa wa Pwani inakabiriwa kwa kiwango...
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
RIPOTI MAALUM:Mabadiliko ya Tabianchi yalivyoathiri zao la mpunga Mkoani Morogoro kwa virusi vya Ugonjwa wa Kimyangu
Mwandishi wa Makala haya, Andrew Chale, ambaye pia ni Mhariri wa mtandao (blog) ya modewjiblog.com, akiwa katika moja ya shamba la Mpunga la Mkulima Bwana Nguji, Kijiji cha Mtimbira, Wilayani Ulaanga Mkoa wa Morogoro -Tanzania hivi karibuni. ( Picha na modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[Morogoro, Tanzania] Zikiwa zimebaki siku zaidi ya 90, kuelekea mkutano mkuu wa 21 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mabadiriko ya Nchi (COP21) unaotarajiwa kufanyika Paris , Ufaransa, Desemba mwaka...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DSC_0005.jpg)
WADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA MABADILIKO YA TABIANCHI
10 years ago
Michuziripoti ya maoni inayohusu mabadiliko ya Tabianchi kuwasilishwa Peru
9 years ago
VijimamboWADAU WAKUTANA KUJADILI RIPOTI YA FEDHA ZA MISAADA YA MABADILIKO YA TABIANCHI
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
‘Mabadiliko tabianchi chanzo migogoro wafugaji, wakulima’
MIGOGORO mingi ya wakulima na wafugaji hapa nchini imeelezwa kuchangiwa na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Jaji wa Mahakama Kuu...
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini ataka wananchi wa vijijini wasaidiwe kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi
Mratibu wa mradi wa kudhibiti wanyama wakali kwa kutumia waya na mitii maalumu inayohimili ukame unaofadhiliwa na UNDP Dr. Maurus Msuha akitoa maelezo kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) alipotembelea miradi mbalimbali inayofadhiliwa na shirika la UNDP wilayani Longido mkoani Arusha katika ziara yake ya siku mbili mara baada ya kuwasili wilayani humo....
11 years ago
Habarileo21 May
Mfuko wa mabadiliko ya tabianchi kuanzishwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inatarajia kuanzisha Mfuko wa Fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ambayo miongoni mwa athari zake ni uharibifu wa mazingira.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mabadiliko ya tabianchi kuathiri umeme
MABADILIKO ya tabianchi yametajwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kupungua kwa uzalishaji wa umeme unaotokana na vyanzo vya maji, hivyo kukwamisha ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu...