NIMR Mwanza wafanya mkutano wa wadau kuhusiana na madhara ya Pombe kwa vijana
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya Taifa ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) tawi la Mwanza mapema Machi 25 mwaka huu imeendesha warsha ya wadau mbalimbali kuhusiana na Madhara ya Pombe kwa vijana kufuatia utafiti uliofanywa katika maeneo kadhaa ya Tanzania, ikiwemo Mkoa wa Kilimanjaro.
Warsha hiyo iliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo Madaktari, wakuu wa idara za Polisi barabarani, wakuu wa Taasisi za Afya na mashirika ya kupiga vita matumizi ya vileo na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NuRISITRVTs/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xg6hK-Zr4Ac/Uxcex32nxGI/AAAAAAAFRNQ/FtqRHhIqWD0/s72-c/nmb+2.jpg)
BENKI YA NMB YAFANYA MKUTANO ELEKEZI KWA WADAU WAKE JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xg6hK-Zr4Ac/Uxcex32nxGI/AAAAAAAFRNQ/FtqRHhIqWD0/s1600/nmb+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xt32SZvy-0/Uxce0tyUEmI/AAAAAAAFRNY/ZtygEb0c7bY/s1600/nmb+7.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XRtA9R8zqHc/ViKME0M3ZuI/AAAAAAAAHkY/N7L4XtqflEU/s72-c/1.1.jpg)
9 years ago
Habarileo20 Nov
Ahimiza wadau kuepusha madhara kwa wafanyakazi wa majumbani
KAMISHNA wa Kazi, visiwani hapa, Ali Ibaraja amesema ipo haja ya wadau wa kazi kushirikiana ili kuepusha kutokea kwa madhara mbalimbali yanayowapata wafanyakazi wa majumbani.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Jz_xZ2mBS7g/Vl8NuqXGXZI/AAAAAAAIJ0E/WNYcybCaqho/s72-c/P1.jpg)
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yapongezwa kwa ushikiano inaotoa kwa wadau wa Vijana
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jz_xZ2mBS7g/Vl8NuqXGXZI/AAAAAAAIJ0E/WNYcybCaqho/s640/P1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KvS4TnYwbqE/Vl8Num34LmI/AAAAAAAIJ0I/5qpekTvKNJE/s640/P3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--ZA5rmoZUvM/VAneM5-Wp2I/AAAAAAAGfGI/QpRtr2B40g4/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana (kushoto) baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza, Septemba 5, 2014. Kulia ni mfugaji na Mkulima kutoka Kiteto. Papian Emmanuel.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn14TPJFoNk/VAneMxhZkCI/AAAAAAAGfGQ/Ha2ETP6v9Mw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Madhara ya Nyaope kwa vijana Afrika Kusini