MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa wadau wa mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza Septemba 5, 2014.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana (kushoto) baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza, Septemba 5, 2014. Kulia ni mfugaji na Mkulima kutoka Kiteto. Papian Emmanuel.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na Kaimu Mkuu wa Mwanza na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s72-c/MMGL0603.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RCWpbK4uVSA/VW2lUIiqTTI/AAAAAAAHbSQ/nbLeNhukMLY/s640/MMGL0603.jpg)
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akitoa hotuba yake ya Ufunguzi wa Mkutano wa tano wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulioanza leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.Mh. Pinda awewasihi wasomi nchini pamoja na watanzania kuacha fikra ya kusubiri kuajiriwa mara wanapomaliza vyuo badala yake wajiajiri wenyewe ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-VlTEULL8IKs/VW2j7TY_3qI/AAAAAAAHbQQ/MSea8ArqUQw/s640/MMGL0325.jpg)
Waziri wa Kazi na Ajira, Mh. Gaudencia Kabaka akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni...
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA UMISETA, JIJINI MWANZA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7g0wcd3AtsU/VRLVCRwjO7I/AAAAAAAHNKw/sn6My2jhvpE/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA RIPOA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7g0wcd3AtsU/VRLVCRwjO7I/AAAAAAAHNKw/sn6My2jhvpE/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rqhOWtLCbpM/VRLQZG0BsCI/AAAAAAAHNJ8/7OrBctKtOx0/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA UKANDA WA KATI JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U_-ftv91yto/U3JFpizQUOI/AAAAAAAFhZE/tXZ8WO2ZDKE/s72-c/_1.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-U_-ftv91yto/U3JFpizQUOI/AAAAAAAFhZE/tXZ8WO2ZDKE/s1600/_1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HzmzjkfOUys/U3JF2ynC-eI/AAAAAAAFhZc/DkqYXx_CKIY/s1600/_4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--x9B1wA6kY0/VAB_1o_HddI/AAAAAAAGT0w/sa97IT-f8KE/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Pinda afungua mkutano wa tano wa wadau wa NSSF
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa tano wa wadau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa NSSF kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Juni 2, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Tibenda, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ,Dr. Ramadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF Abubakari Rajab. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa tano wa Mfuko wa hifadhi ya jamii, NSSF wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo PInda wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KwQMhW_ngPk/VGYQgQMuK6I/AAAAAAAGxKY/oktr6MGB0yA/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA AFYA DAR JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-KwQMhW_ngPk/VGYQgQMuK6I/AAAAAAAGxKY/oktr6MGB0yA/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zI0dBe8Qr7s/VGYQg49gRbI/AAAAAAAGxKc/4TOfs4PcZDM/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
WAZIRI MKUU...
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...