Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washitakiwa wavua nguo hadharani

MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi

Mahabusu mkoani Arusha, Tanzania walivua nguo wakipinga watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa huru

 

11 years ago

Mwananchi

Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa

Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua nguo na kugoma kushuka kwenye basi wakipinga kitendo cha watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa kinyemela.

 

5 years ago

Michuzi

UKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema atachukua hatua kwa Taasisi zisizo za kiserikali (NGOs) zinazouza barakoa kwa gharama kubwa.

Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...

 

10 years ago

Mwananchi

Abwao, Leticia wavua magwanda

>Wabunge wawili wa Viti Maalumu (Chadema) wamekihama chama hicho na kujiunga na na vyama vingine huku mmoja akikiponda chama hicho kuwa hakina dhamira ya dhati ya kupambana na ufisadi.

 

11 years ago

Habarileo

Wafutiwa mashitaka, washitakiwa tena

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imewafutia mashitaka washitakiwa tisa wa kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 149.7 na kisha kuwafungulia tena mashitaka hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Mashitaka wajichanganya, washitakiwa waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Tabora umewaachia huru watuhumiwa sita waliokuwa wanashitakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha baada ya kuona ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ukipingana wenyewe.

 

11 years ago

Habarileo

Washitakiwa bomu la Arusha ‘walindwa’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilipewa ulinzi mkali wa Polisi wakati watuhumiwa tisa wa mlipuko wa bomu, uliotokea baa ya Arusha Night Park, walipofikishwa mahakamani hapo.

 

10 years ago

Mtanzania

Wawili washitakiwa kwa utakatishaji fedha

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne ya kula njama, wizi na kutakatisha fedha haramu.
Akisoma hati ya mashtaka juzi, Wakili wa Serikali, Shedrack Kimaro, mbele ya Hakimu Mkazi, Kwey Lusemwa, alidai washtakiwa hao walitenda kosa hilo kati ya Aprili 2014 na Februari 2015.
Aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Kassim Abdallah, Yassin Ramadhan na Thendo Ally, wote kwa pamoja walikula njama ya kuiibia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washitakiwa kesi ya Suma JKT watetewa

BRIGEDIA Jenerali wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Adamu Mwabulanga (62), ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa Shirika la Suma JKT ndilo lilipewa mamlaka ya  kununua ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani