Washitakiwa wavua nguo hadharani
MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi
11 years ago
Mwananchi07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa
5 years ago
MichuziUKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Abwao, Leticia wavua magwanda
11 years ago
Habarileo17 Jul
Wafutiwa mashitaka, washitakiwa tena
OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imewafutia mashitaka washitakiwa tisa wa kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 149.7 na kisha kuwafungulia tena mashitaka hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mashitaka wajichanganya, washitakiwa waachiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Tabora umewaachia huru watuhumiwa sita waliokuwa wanashitakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha baada ya kuona ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ukipingana wenyewe.
11 years ago
Habarileo13 Jun
Washitakiwa bomu la Arusha ‘walindwa’
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilipewa ulinzi mkali wa Polisi wakati watuhumiwa tisa wa mlipuko wa bomu, uliotokea baa ya Arusha Night Park, walipofikishwa mahakamani hapo.
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Wawili washitakiwa kwa utakatishaji fedha
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne ya kula njama, wizi na kutakatisha fedha haramu.
Akisoma hati ya mashtaka juzi, Wakili wa Serikali, Shedrack Kimaro, mbele ya Hakimu Mkazi, Kwey Lusemwa, alidai washtakiwa hao walitenda kosa hilo kati ya Aprili 2014 na Februari 2015.
Aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Kassim Abdallah, Yassin Ramadhan na Thendo Ally, wote kwa pamoja walikula njama ya kuiibia...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Washitakiwa kesi ya Suma JKT watetewa
BRIGEDIA Jenerali wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Adamu Mwabulanga (62), ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa Shirika la Suma JKT ndilo lilipewa mamlaka ya kununua ...