Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafutiwa mashitaka, washitakiwa tena

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imewafutia mashitaka washitakiwa tisa wa kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 149.7 na kisha kuwafungulia tena mashitaka hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mashitaka wajichanganya, washitakiwa waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Tabora umewaachia huru watuhumiwa sita waliokuwa wanashitakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha baada ya kuona ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ukipingana wenyewe.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wanane wafutiwa leseni

Meneja Mawasiliano wa SUMATRA, David MzirayMAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) imewafutia leseni madereva wanane, waliosababisha ajali kwa uzembe na hawataruhusiwa kuendesha mabasi ya abiria.

 

10 years ago

Mwananchi

Fuime na wenzake wafutiwa mashtaka

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewafutia mashtaka ya mauaji ya kukusudia aliyekuwa mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 na badala yake imeamuru washtakiwe kwa mauaji ya kuua bila kukusudia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji 174 wafutiwa leseni

Wizara ya Nishati na Madini imefuta jumla ya leseni 174 za utafutaji madini na leseni moja ya uchimbaji mkubwa wa madini kutokana na kukiuka taratibu na sheria za madini nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi wa Chadema wafutiwa kesi ya unyang’anyi wa silaha

Mahakama ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imewafutia kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha wafuasi watatu wa Chadema baada ya kukosa ushahidi wa kuwatia hatiani.

 

10 years ago

Mwananchi

Wawili wafutiwa usajili wao Ligi Daraja la Pili

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imepitisha usajili wa Ligi Daraja la Pili (SDL) huku ikikata majina mawili ya wachezaji katika klabu za Abajalo ya Dar es Salaam na Magereza ya Iringa.

 

11 years ago

Habarileo

Washitakiwa bomu la Arusha ‘walindwa’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilipewa ulinzi mkali wa Polisi wakati watuhumiwa tisa wa mlipuko wa bomu, uliotokea baa ya Arusha Night Park, walipofikishwa mahakamani hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Washitakiwa wavua nguo hadharani

MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washitakiwa kesi ya Suma JKT watetewa

BRIGEDIA Jenerali wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Adamu Mwabulanga (62), ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa Shirika la Suma JKT ndilo lilipewa mamlaka ya  kununua ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani