Wafutiwa mashitaka, washitakiwa tena
OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imewafutia mashitaka washitakiwa tisa wa kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 149.7 na kisha kuwafungulia tena mashitaka hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mashitaka wajichanganya, washitakiwa waachiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Tabora umewaachia huru watuhumiwa sita waliokuwa wanashitakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha baada ya kuona ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ukipingana wenyewe.
10 years ago
Habarileo04 Apr
Madereva wanane wafutiwa leseni
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) imewafutia leseni madereva wanane, waliosababisha ajali kwa uzembe na hawataruhusiwa kuendesha mabasi ya abiria.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Fuime na wenzake wafutiwa mashtaka
11 years ago
Mwananchi31 May
Wachimbaji 174 wafutiwa leseni
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Wafuasi wa Chadema wafutiwa kesi ya unyang’anyi wa silaha
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wawili wafutiwa usajili wao Ligi Daraja la Pili
11 years ago
Habarileo13 Jun
Washitakiwa bomu la Arusha ‘walindwa’
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilipewa ulinzi mkali wa Polisi wakati watuhumiwa tisa wa mlipuko wa bomu, uliotokea baa ya Arusha Night Park, walipofikishwa mahakamani hapo.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Washitakiwa wavua nguo hadharani
MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Washitakiwa kesi ya Suma JKT watetewa
BRIGEDIA Jenerali wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Adamu Mwabulanga (62), ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa Shirika la Suma JKT ndilo lilipewa mamlaka ya kununua ...