Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafuasi wa Chadema wafutiwa kesi ya unyang’anyi wa silaha

Mahakama ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imewafutia kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha wafuasi watatu wa Chadema baada ya kukosa ushahidi wa kuwatia hatiani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI

UPANDE wa Jamhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umedai mahakamani kwamba washtakiwa hao walikiuka amri halali ya Jeshi la Polisi baada ya kuvuka kizuizi kilichowekwa eneo la Makao Makuu ya  jeshi hilo.
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28)  dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 unyang’anyi wa silaha

MKAZI wa Magomeni Makuti, Omary Ayub (25) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi kwa kutumia silaha.

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa silaha

WAKAZI wawili wa vijiji vya Nyabisaga Kata ya Pemba wilayani Tarime mkoani Mara, Mhoni Chacha Ng’wena (25) na Isack Magawi Meng’anyi (30), wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.

 

10 years ago

Mwananchi

Afungwa jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha

Mahakama ya Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro imemuhukumu kifugo cha miaka 30 jela, Stephan Moleli mkazi wa Ngereiyani Wilayani Siha kwa kosa la unyang’anyi kwa kutumia silaha.

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi kesi ya wafuasi wa CUF bado kukamilika

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.UPEELELEZI wa kesi ya kutotii amri halali ya polisi na kufanya mkusanyiko usio halali inayowakabili wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) haujakamilika.

 

9 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Chadema mbaroni

WATU wawili wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Goodluck Hamandi (26), mkazi wa Mtoni na Fulgence Shayo (18) mkazi wa Mazimbu katika Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kufanya fujo.

 

10 years ago

GPL

WAFUASI WA SHEIKH PONDA WASWALI BARABARANI WAKATI KESI IKIENDELEA MKOANI MORO

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiswali sala ya saa 7 leo mchana kwenye barabara iliyo nje ya Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Mkoa wa…

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Chadema wapunguziwa mashtaka

Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imewafutia wafuasi watatu wa Chadema mashtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani