Wafuasi Chadema wapunguziwa mashtaka
Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara imewafutia wafuasi watatu wa Chadema mashtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LFiLEDynMPQ/XnjDBgDwRzI/AAAAAAALk1E/WkTDakhburEfR0FX4MAUdz9SJAXG-BQeQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c127ee9-eca5-4fce-9bc9-602304b41ced.jpg)
WAFUASI na viongozi 27 wa CHADEMA wamefikishwa kortini wakikabiliwa na mashtaka saba
WAFUASI na viongozi 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamefikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka saba yakiwemo ya kutoa maneno ya maudhi kwa askari magereza na kuharibu geti la gereza la Segerea.
Hata hivyo ni washtakiwa 15 tu ndio wamesomewa mashtaka yao leo Machi 23,2020. Hata hivyo upande wa mashtaka umeomba hati ya wito kwa washtakiwa 12 ambao hawakuwepo leo mbele ya mahakama kujibu mashtaka yao ili...
9 years ago
Habarileo18 Sep
Wafuasi wa Chadema mbaroni
WATU wawili wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Goodluck Hamandi (26), mkazi wa Mtoni na Fulgence Shayo (18) mkazi wa Mazimbu katika Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamekamatwa na polisi wakituhumiwa kufanya fujo.
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Wafuasi wa Chadema kizimbani Dar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z0OezKvypDo/XvHtBrfRkzI/AAAAAAALvEI/Pc3WmTSdo4IqLwLaHwSIEidbVUES4bYfgCLcBGAsYHQ/s72-c/MAHAKAMA%2B2018.jpg)
VIONGOZI NA WAFUASI 27 WA CHADEMA KUKAMATWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-z0OezKvypDo/XvHtBrfRkzI/AAAAAAALvEI/Pc3WmTSdo4IqLwLaHwSIEidbVUES4bYfgCLcBGAsYHQ/s640/MAHAKAMA%2B2018.jpg)
Katika kesi hiyo, viongozi na wafuasi 27 wa Chadema wanakabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kukaidi amri halali na kuharibu geti la gereza la Segerea.
Washitakiwa hao ambao hawajafika na kuamriwa kukamatwa ni Edga Adelin, Gerva Yenda, Regnald Masawe, Cesilia Michaeli na...
10 years ago
Habarileo25 Sep
Wafuasi wa Chadema wapata dhamana
WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Wafuasi wa Zitto, Chadema watwangana tena
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s400/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Polisi wazuia maandamano ya wafuasi wa Chadema
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Wafuasi Chadema, CCM wachapana makonde