Wawili washitakiwa kwa utakatishaji fedha
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka manne ya kula njama, wizi na kutakatisha fedha haramu.
Akisoma hati ya mashtaka juzi, Wakili wa Serikali, Shedrack Kimaro, mbele ya Hakimu Mkazi, Kwey Lusemwa, alidai washtakiwa hao walitenda kosa hilo kati ya Aprili 2014 na Februari 2015.
Aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Kassim Abdallah, Yassin Ramadhan na Thendo Ally, wote kwa pamoja walikula njama ya kuiibia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Kortini kwa wizi, utakatishaji fedha
NA FURAHA OMARY
MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Telesphory Gura (43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kumwibia mwajiri wake sh. milioni 241 na kutakatisha fedha haramu.
Gura, mkazi wa Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam, alifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Frank Moshi.
Wakili wa Serikali, Genes Tesha, alimsomea Gura mashitaka matano ya wizi wa sh. 241,163,668 na ya kutakatisha fedha zaidi ya sh....
5 years ago
Michuzi
MWANAMKE MBARONI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI NA UTAKATISHAJI FEDHA

Washtakiwa hao ambao wamesomewa mashtaka yao leo Mei 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rashid Chaungu wanadaiwa kuwa, kati ya Machi 1 na 31, 2020 katika maeneo tofauti Jiji la Dar es Salaam, kwa makusudi waliongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia...
5 years ago
Michuzi
OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
5 years ago
Michuzi
MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA

MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...
10 years ago
Habarileo04 Apr
Watatu kortini utakatishaji fedha
WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya wizi na utakatishaji wa fedha.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Mifumo ya utakatishaji fedha na jinzi unavyoathiri uchumi
11 years ago
Habarileo05 Aug
Tanzania kinara udhibiti utakatishaji fedha haramu
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika, ambazo zimeimarisha mifumo yake ya ndani ya kudhibiti utakatishaji wa fedha haramu.
10 years ago
Mtanzania22 Jan
Wakili Mwale asomewa mashtaka 42 ya utakatishaji fedha haramu
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
WAKILI maarufu jijini Arusha, Medium Mwale na wenzake watatu, wamesomewa mashtaka 42 yanayohusu utakatishaji wa fedha haramu, kughushi nyaraka na kukutwa na mali zilizopatikana kwa njia za uhalifu.
Watuhumiwa hao walisomewa mashtaka ya awali jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mustapha Siyani kabla ya kesi hiyo haijapelekwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha kwa kuanza kusikilizwa.
Akisoma maelezo hayo ya awali, Wakili...
10 years ago
MichuziSerikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI