UKOMO WA BEI YA BARAKOA HADHARANI, VIWANDA VYA NGUO NCHINI KUTENGENEZA BARAKOA ZAIDI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema atachukua hatua kwa Taasisi zisizo za kiserikali (NGOs) zinazouza barakoa kwa gharama kubwa.
Bashungwa alitoa taadhari hiyo mkoani Arusha alipotembelea Viwanda vya kuzalisha nguo vya Sunflug na A to Z kuangalia hali ya uzalishaji wa barakoa katika Viwanda hivyo.
Bashungwa alitoa onyo kwa NGOs zilizoomba kibali cha kuzalisha barakoa kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania lakini badala yake wanauza barakoa kwa shillingi 2,500 hadi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKIKUNDI CHA BARAKOA TZ CHAGAWA BARAKOA BURE ZAIDI YA 1000 MAENEO MBALIMBALI IKIWEMO VITUO VYA WATOTO YATIMA
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qfXGYOy6H_I/Xrvk6tcD2AI/AAAAAAALqD4/FSAPsbE1I5Mc5_o2Zlb8FoE2bRVtlPPVgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0170.jpg)
Jerry Muro azindua kiwanda cha kutengeneza Barakoa
![](https://1.bp.blogspot.com/-qfXGYOy6H_I/Xrvk6tcD2AI/AAAAAAALqD4/FSAPsbE1I5Mc5_o2Zlb8FoE2bRVtlPPVgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0170.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200513-WA0171.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200513-WA0168.jpg)
************************************
Na Woinde Shizza , Arusha .
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo amezindua kiwanda kidogo kitakachokuwa kikizalisha Barakoa kwa ajili ya watumishi wa wilaya hiyo katika sekta ya afya.
Akizindua kiwanda hicho kidogo cha uzalishaji wa barakoa katika wilaya hiyo kuwa hicho litasaidia kutengeneza barakoa kwaajili ya wafanyakazi wote was halmashauri hiyo. Alisema kiwanda hicho kitakuwa ni mali ya Serikali na kipo ndani ya hospitali ya Halmashauri ya Meru...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya Corona: Barakoa ipi ni sahihi kwa matumizi?
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Katika harusi ya pamoja nchini Ufilipino wanadoa walazimika kuvaa barakoa
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya Corona: Makosa yanayofanywa na watu wanaovaa barakoa za vitambaa
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha visa vinne , raia waagizwa kuvaa barakoa