Virusi vya Corona: Makosa yanayofanywa na watu wanaovaa barakoa za vitambaa
Katika vita didi ya virusi vya corona , kuna suala ambalo linazidi kkuibua mjadala kuhusu iwapo raia wanapaswa kujifunika uso na pua kwa kutumia barakoa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege
Abiria wanaosafiri katika viwanja kadhaa vya ndege vya Uingereza sasa watahitajika kuvalia barakoa na glavu kwa sababu ya maradhi ya Covid- kumi na tisa
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya
Idadi ya wanaume inaonekana kuwa juu zaidi kati ya wanaopata maambukizi ya virusi vya corona Kenya
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya Corona: Barakoa ipi ni sahihi kwa matumizi?
Kuna vifaa vya kujikinga na corona kama barakoa, glovu,miwani lakini ni nani wanapaswa kutumia?
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?
Taratibu za kufuata wakati wa kuvaa barakoa kujikinga na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha visa vinne , raia waagizwa kuvaa barakoa
Waziri wa Afya nchini Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kwamba Kenya imethibitisha visa vinne zaidi vya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Fahamu aina za barakoa zinazotoa ulinzi madhubuti dhidi ya maambukizi
Fahamu aina za barakoa zinazotoa ulinzi madhubuti dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Je ukivaa barakoa ni muhimu kuzingatia umbali wa mita moja kati yako na
Shirika la Afya Duniani WHO limesisitiza kwamba kunapaswa kuwa na ushahidi kwamba utumizi wa mask au barakoa, pamoja na maelezo mengine unasaidia kupunguza mlipuko huo
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?
Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia wagonjwa 4,738
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania