Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge wa Busega kukabili wanaopora fedha za miradi

Dk Titus KamaniMBUNGE wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani amesema hatavumilia watu wanaokula fedha za miradi ya maendeleo jimboni humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

JBS FUEL COMPANY YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UALBINO BUSEGA KUKABILI CORONA

 Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Tano Mwera (kushoto) akipokea  msaada wa chakula na vifaa vya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona uliotolewa na Mkurugenzi wa JBS Fuel Company Limited, Bi. Lucy Sabu (wa pili kulia) kwa kituo cha kulelea watoto wenye ualbino na watoto wenye mahitaji maalumu kilichopo Kata ya Lamadi wilayani Busega, Aprili 22, 2020 wakishuhudiwa na baaadhi ya watoto hao na Mlezi wao Sister Helena Ntambulwa.
  Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Tano Mwera (kushoto) akipokea...

 

11 years ago

Mwananchi

Miradi kukabili foleni yasuasua

>Kasi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam inaonekana si ya kuridhisha licha ya ukubwa wa tatizo lenyewe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatenga fedha kukabili Ebola

Nigeria imetangaza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kama janga la kitaifa na kutenga dola millioni 11 kukabiliana na ugonjwa huo

 

10 years ago

StarTV

Obama aomba fedha kukabili Ebola.

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.

Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.

Mazishi wagonjwa wa Ebola

Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aomba fedha kukabili Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 ili kuikabili Ebola.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji serikali kushindwa kukabili mazalia ya mbu

MBUNGE wa Viti Maalum, Mkiwa Kimwanga (CUF) ameihoji Serikali kwa kushindwa kupuliza dawa ya  kuua mbu na mazalia yake katika mikoa yote Tanzania. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao

Jitihada za Serikali katika kupambana na uhalifu wa mitandao imeungwa mkono kutokana na baadhi ya vyuo kuanzisha mitalaa yenye somo la ulinzi wa  mitandao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za miradi zarejeshwa Hazina

JUMLA ya sh 188,405,740,589 sawa na asilimia 55 ya fedha zilizotolewa na Serikali Kuu kwa shughuli za miradi mbalimbali ya maendeleo katika kipindi cha mwaka 2011 na 2012 zimerudishwa Hazina...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE KABATI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

 Daktari wa Mifugo wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Augustino Nyenza akimwelekeza Mbunge wa viti maalum Lita Kabati mradi wa machinjia ya kisasa yaliyoko Ngelewala yaliyopo katika kata ya Isakalilo.  Mganga Mfawishi wa Hospitali ya wilaya ya Frelimo Dk. Hassan Mtani akitoa taarifa kuhusu hospitali hiyo mbele ya mbunge wa Viti maalum CCm Lita Kabati Baadhi ya wahudumu wa hospitali ya Frelimo Mbunge wa viti maalum CCM Lita Kabati akimpa pole mama aliyejifungua hospitalini hapo. Mbunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani