Miradi kukabili foleni yasuasua
>Kasi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam inaonekana si ya kuridhisha licha ya ukubwa wa tatizo lenyewe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Tanroads kukabili foleni
11 years ago
Habarileo26 Jul
Mbunge wa Busega kukabili wanaopora fedha za miradi
MBUNGE wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani amesema hatavumilia watu wanaokula fedha za miradi ya maendeleo jimboni humo.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Tanzania yasuasua kielimu
IDADI ya wanafunzi wanaopata elimu ya juu nchini ni ya chini kuliko nchi nyingi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka...
11 years ago
Habarileo27 Apr
Kesi ya wafanyakazi 14 benki ya Exim yasuasua
KESI inayowakabili wafanyakazi 14 wa benki ya Exim tawi la jijini Arusha kwa tuhuma za kuibia benki hiyo zaidi ya Sh bilioni 7.6, inaendelea kusuasua.
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Serikali yasuasua ufungaji mitambo ya ebola
9 years ago
StarTV12 Nov
Biashara ya Samaki Soko la Feri Mtwara yasuasua
Wafanyabiashara wadogo wadogo wa Samaki katika Soko la Feri mkoani Mtwara wamelalamikia kukosekana kwa samaki kunakotokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Hali hii inasababisha Samaki kupanda bei na kuwaathiri wafanyabiashara hao kutokana na mtaji wa kuendeshea Biashara kuwa mdogo na hivyo baadhi yao kutishia kuachana na biashara hiyo kutokana na kukosekana kwa faida.
Bi. Zuena Franciss ni Mmoja wa wafanyabiashara ndogo ndogo anayenunua Samaki katika soko la feri la Mtwara nabaadaye kukaanga...
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Tanzania yasuasua utekelezaji mapendekezo haki za binadamu
10 years ago
StarTV01 Apr
Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10