Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yasuasua kielimu

IDADI ya wanafunzi wanaopata elimu ya juu nchini ni ya chini kuliko nchi nyingi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yasuasua utekelezaji mapendekezo haki za binadamu

Tanzania imeshindwa kutekeleza kwa kiasi kikubwa mapendekezo zaidi ya 100 ya Haki za Binadamu yaliyokubalika kiulimwengu.

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

GPL

TOVUTI MPYA YA HABARI ZA KIELIMU TANZANIA YAANZISHWA‏

Shule Zetu.or.Tz by moblog…

 

11 years ago

Mwananchi

Miradi kukabili foleni yasuasua

>Kasi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam inaonekana si ya kuridhisha licha ya ukubwa wa tatizo lenyewe.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya wafanyakazi 14 benki ya Exim yasuasua

KESI inayowakabili wafanyakazi 14 wa benki ya Exim tawi la jijini Arusha kwa tuhuma za kuibia benki hiyo zaidi ya Sh bilioni 7.6, inaendelea kusuasua.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasuasua ufungaji mitambo ya ebola

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii bado haijafunga vifaa vya kupimia joto ili kubaini dalili za awali za wagonjwa wa ebola kwenye viwanja vya ndege licha ya ugonjwa huo kuenea kwa kasi.

 

9 years ago

StarTV

Biashara ya Samaki Soko la Feri Mtwara yasuasua

Wafanyabiashara wadogo wadogo wa Samaki katika Soko la Feri mkoani Mtwara wamelalamikia kukosekana kwa samaki kunakotokana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Hali hii inasababisha Samaki kupanda bei na kuwaathiri wafanyabiashara hao kutokana na mtaji wa kuendeshea Biashara kuwa mdogo na hivyo baadhi yao kutishia kuachana na biashara hiyo kutokana na kukosekana kwa faida.

Bi. Zuena Franciss ni Mmoja wa wafanyabiashara ndogo ndogo anayenunua Samaki katika soko la feri la Mtwara nabaadaye kukaanga...

 

10 years ago

StarTV

Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.

Na Magreth Tengule,

Rombo.

 

Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.

 

Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.

 

Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tusiime yaendeleza umwamba kielimu

WAKATI Mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza kwa mwaka wa pili mfululizo katika matokeo ya darasa la saba kitaifa, shule ya Msingi ya Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani