Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusiime yaendeleza umwamba kielimu

WAKATI Mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza kwa mwaka wa pili mfululizo katika matokeo ya darasa la saba kitaifa, shule ya Msingi ya Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Msondo, Sikinde kuonyeshana umwamba

Bendi za muziki wa dansi yenye upinzani wa jadi nchini, Msondo Music Band (Baba ya Muziki) na DDC Mlimani Park Orchestra (Sikinde Ngoma ya Ukae), watapambana katika Desemba 25 katika Viwanja vya TCC Club, Chang’ombe.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WAONYESHANA UMWAMBA KATIKA MAPAMBANO YA NDONDI JIJINI DAR

 Bondia Bonans Samweli (kushoto) akimrushia konde Bondia mwenzake Julius Kisalawe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame jijini Dar es salaam jana.Bondia Kisalawe alishinda kwa point mchezo huo.

 Bondia Julius Kisalawe akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake Mabondia Ally Yusuph (kushoto) na Sadam Manjepa wakionyeshana umwamba wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika GYM ya Ndame manzese jijini Dar es salaam. Yusuph alishinda kwa point.Mabondia Tasha Mjuaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kawambwa aipongeza Tusiime

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya Dar es Salaam ambayo imekuwa ya pili kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaipongeza Tusiime

SERIKALI mkoani Dar es Salaam, imeipongeza shule ya Tusiime iliyopo Tabata  kwa namna ilivyosaidia mkoa huo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wafurahishwa matokeo Tusiime

WAZAZI wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam, wamefurahishwa na matokeo ya shule hiyo ya darasa la saba mwaka huu na kuipongeza kwa kufanikiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tusiime ‘yamkuna’ waziri Kawambwa

>Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam kwa kushika nafasi ya  pili kitaifa katika matokeo ya mitihani ya darasa la saba mwaka jana.

 

11 years ago

Habarileo

Tusiime kufundisha kwa kompyuta

SHIRIKA la Opportunity Education Foundation (OEF) la nchini Marekani, limeichagua Shule ya Sekondari Tusiime ya Tabata kuwa ya majaribio katika ufundishaji kwa njia ya kielektroniki mkoani Dar es Salaam na kuipatia kompyuta ndogo 100.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanafunzi wa Tusiime aota kuwa daktari bingwa

MWANAFUNZI Hussein Hemed Hussein aliyeongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana kwa kupata alama 243 wa Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam , amesema ndoto yake kuwa daktari bingwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaipongeza Tusiime kuingia kumi bora kitaifa

SERIKALI  imeipongeza shule ya Tusiime kwa kuwa shule pekee kutoka Mkoa wa Dar es salaam iliyoingia kwenye kumi bora kitaifa na kufaulisha wafunzi wote  168 kwa alama A na kuongoza katika mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani