Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusiime kufundisha kwa kompyuta

SHIRIKA la Opportunity Education Foundation (OEF) la nchini Marekani, limeichagua Shule ya Sekondari Tusiime ya Tabata kuwa ya majaribio katika ufundishaji kwa njia ya kielektroniki mkoani Dar es Salaam na kuipatia kompyuta ndogo 100.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mh. Membe atoa somo kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ambapo wanafunzi hao walipata nafasi ya kumuuliza maswali na kuyajibu kabla hajafungua maabara ya sayansi na maktaba na mahafali ya tano ya kidato cha sita ya shule hiyo. Wengine wanaoonekana ni wageni alioambatana nao na walimu wa Tusiime.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Akisikiliza...

 

10 years ago

Habarileo

Chuo chaomba kufundisha maadili kwa viongozi

CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimepeleka ombi serikalini kuomba kibali kuanza kutoa tena kozi za maadili kwa viongozi wanaoteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo. Meneja wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar

photo1

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye  Viwanda  na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo.

photo2

Meneja wa...

 

10 years ago

Vijimambo

PSPF YATOA MSAADA WA KOMPYUTA 12 KWA VYUO VIWILI BAGAMOYO

 Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani kushoto Akimkabidhi Msaada wa Kompyuta Mkuu wa Chuo Kikuu teule cha Marian Father Luke Mbefo  ambapo Kompyuta hizo zitatumika katika Kuhifadhi Nyaraka mbalimbali za Maktaba  Mkuu wa Chuo Kikuu teule cha Marian Father Luke Mbefo  kulia akimshukuru Afisa Mahusiano wa PSPF Bi. Coleta Mnyamani kwa msaada huo Mwakirishi wa Shirika la Roho Mtakatifu Father Nicetas Kyara akitoa neno la Shukurani Baada ya kukabidhiwa msaada wa Kompyuta Mbili za kisasa kutoka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaipongeza Tusiime

SERIKALI mkoani Dar es Salaam, imeipongeza shule ya Tusiime iliyopo Tabata  kwa namna ilivyosaidia mkoa huo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kawambwa aipongeza Tusiime

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya Dar es Salaam ambayo imekuwa ya pili kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka...

 

11 years ago

Dewji Blog

Access Bank watoa msaada wa Kompyuta kwa shule ya sekondari Azania

access 1  Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta Mkuu wa Shule ya Sekondari Azania, Mwl. Benald Ngonzie (kushoto), wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni wanafunzi wa shule hiyo. Benki hiyo jana ilitoa msaada wa kompyuta 10 kwa shule hiyo zenye thamani ya zaidi ya Sh2 milioni. aces

Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

Jitu Son atoa baiskeli na kompyuta kwa wananchi wa jimbo lake

Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mkoani Manyara Jitu Vrajlal Son, akiwakabidhi kompyuta Makamu Mkuu wa shule ya sekondari Chief Dodo ya Kata ya Riroda Jackson Warae na Mratibu elimu kata ya Riroda Peter Yaghambe, mbunge huyo aligawa kompyuta tano kwenye tarafa ya Goroi ambapo kila shule ya sekondari kwenye kata tano za tarafa hiyo zilipata kompyuta moja, katikati ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Nicodemus Tarmo.Mafundi wakiziweka sawa baiskeli 32 za wahudumu wa afya vijijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani