Tusiime kufundisha kwa kompyuta
SHIRIKA la Opportunity Education Foundation (OEF) la nchini Marekani, limeichagua Shule ya Sekondari Tusiime ya Tabata kuwa ya majaribio katika ufundishaji kwa njia ya kielektroniki mkoani Dar es Salaam na kuipatia kompyuta ndogo 100.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMh. Membe atoa somo kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime
10 years ago
Habarileo04 Dec
Chuo chaomba kufundisha maadili kwa viongozi
CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kimepeleka ombi serikalini kuomba kibali kuanza kutoa tena kozi za maadili kwa viongozi wanaoteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pgBZpUjcr9U/U2aDqa42UsI/AAAAAAAFfdI/AJT2fbJu1PU/s72-c/photo1.jpg)
Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-pgBZpUjcr9U/U2aDqa42UsI/AAAAAAAFfdI/AJT2fbJu1PU/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDzS2o_hN-E/U2aDqa-1JGI/AAAAAAAFfdQ/_69QqzoF7Cg/s1600/photo2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog05 May
Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo.
10 years ago
VijimamboPSPF YATOA MSAADA WA KOMPYUTA 12 KWA VYUO VIWILI BAGAMOYO
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Serikali yaipongeza Tusiime
SERIKALI mkoani Dar es Salaam, imeipongeza shule ya Tusiime iliyopo Tabata kwa namna ilivyosaidia mkoa huo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu kwa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kawambwa aipongeza Tusiime
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya Dar es Salaam ambayo imekuwa ya pili kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Access Bank watoa msaada wa Kompyuta kwa shule ya sekondari Azania
![access 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/access-1.jpg)
![aces](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/aces.jpg)
Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa...
10 years ago
MichuziJitu Son atoa baiskeli na kompyuta kwa wananchi wa jimbo lake