Mh. Membe atoa somo kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ambapo wanafunzi hao walipata nafasi ya kumuuliza maswali na kuyajibu kabla hajafungua maabara ya sayansi na maktaba na mahafali ya tano ya kidato cha sita ya shule hiyo. Wengine wanaoonekana ni wageni alioambatana nao na walimu wa Tusiime.
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Akisikiliza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
11 years ago
CloudsFM05 Jun
HAPPINESS MAGESE ATOA SOMO KWA WANAFUNZI
MWANAMITINDO maarufu ulimwenguni na mshindi wa taji la Miss Tanzania mwaka 2001, Happiness Magese, kupitia mradi wake wa Millen Magese Foundation, leo amewapa semina wasichana wa shule za sekondari Mtakukuja na Kondo pamoja na wasichana wa shule za msingi Mtakuja na Mtongani juu ya ugonjwa wa Endometriosis ambao huwatesa wanawake wengi kwa maumivi makali na pengine ugumba.
Mwanamitindo huyo alitoa somo hilo kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mtakuja ambapo watu zaidi ya 1200 walielimishwa juu...
9 years ago
MichuziTANGA CEMENT YATOA SOMO LA UPANDAJI MITI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI YA ROSMINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-WQMyrYPqVsk/VdsT0hMSpiI/AAAAAAAHznY/tVUywX7hln0/s640/02.jpg)
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI NJOMBE CHINI YA ULINZI KWA MBINU YA KULIPUA MBWENI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5SrCV17zms4/VkVmborxzgI/AAAAAAAAWVY/eOFWxKu2lfE/s72-c/IMG_8051%2B%25281024x683%2529.jpg)
VODACOM YAPELEKA SOMO LA ICT SHULE ZA SEKONDARI VIJIJINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5SrCV17zms4/VkVmborxzgI/AAAAAAAAWVY/eOFWxKu2lfE/s640/IMG_8051%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_PaOXg-llo8/VkVmbpf4o7I/AAAAAAAAWVc/rJsBzaIUGGk/s640/IMG_8054%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gyNXBZKjpqk/VkVmbSMET5I/AAAAAAAAWVU/datJ47YsojQ/s640/IMG_8062%2B%25281024x683%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s72-c/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60
![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s640/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Pinda akutana na wanafunzi wa shule ya sekondari Kibosho
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kibosho wakati alipokutana nao kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakiwa katika ziara ya kujifunza masuala ya usafiri wa anga. Mheshimiwa Pinda alikuwa akienda Dar es salaam akitoka Arusha Septemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeMQJwt1amw/VA225ovp4EI/AAAAAAAGh7c/ETWXOf5i8vM/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
MH. PINDA AKUTANA NA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI KIBOSHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeMQJwt1amw/VA225ovp4EI/AAAAAAAGh7c/ETWXOf5i8vM/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3LqMTKvYzH0/VA225oJNVsI/AAAAAAAGh7Y/MEZHoVyXsEI/s1600/unnamed%2B(15).jpg)