Jitu Son atoa baiskeli na kompyuta kwa wananchi wa jimbo lake
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mkoani Manyara Jitu Vrajlal Son, akiwakabidhi kompyuta Makamu Mkuu wa shule ya sekondari Chief Dodo ya Kata ya Riroda Jackson Warae na Mratibu elimu kata ya Riroda Peter Yaghambe, mbunge huyo aligawa kompyuta tano kwenye tarafa ya Goroi ambapo kila shule ya sekondari kwenye kata tano za tarafa hiyo zilipata kompyuta moja, katikati ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Nicodemus Tarmo.
Mafundi wakiziweka sawa baiskeli 32 za wahudumu wa afya vijijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWAKILISHI WA KIKWAJUNI MHE MAHMOUD ATOWA ELIMU YA KATIBA MPYA KWA WANANCHI WA JIMBO LAKE
11 years ago
GPLMWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ATIMIZA AHADI KWA TIMU ZA JIMBO LAKE
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA JIMBO LAKE
10 years ago
Michuzi.jpg)
Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...
10 years ago
Michuzi
Mhe Vicky Kamata atoa baiskeli 500 kwa wanawake wa mkoa wa Geita




10 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAKABIDHI MSAADA WA KOMPYUTA KWA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI ARNAUTOGLU
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza Kutekeleza Ahadi Zake kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni kwa Ujenzi wa Ukuta Kituo cha Afya Chumbuni
10 years ago
Michuzi
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA MOSHI ,JAFARY MICHAEL ATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA MSINGI PASUA MJINI MOSHI



BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI