Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-xfXtU-ri4H4/VUHSULUY1UI/AAAAAAAHUMI/-oKrMhMqVjc/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia mifugo yao kenye Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA KATIKA JIMBO LAKE LA UCHAGUZI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p4fbjhJu1BY/VP1SytjTvvI/AAAAAAAHI10/8kjFSqqMmmM/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa Maji Amos Makalla jimbo la Mchinga-Lindi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s72-c/6.jpg)
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashama Paulo Ruzoka Kuongoza ujumbe wa Tanzania kumuona Papa Francis Uganda
![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s640/6.jpg)
Na Joseph Ishengoma, MAELEZOAskofu Mkuu wa jimbo kuu la Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka (pichani) kesho (tarehe 27.11.2015) anatarajia kuongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francis nchini Uganda.Baba Mtakatifu Francis anatarajia kuwasili nchini Uganda kesho kwa ziara ya siku mbili akitokea Kenya kabla ya kuelekea Afrika ya Kati.Hii ni ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kutembelea Bara la Afrika tangu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zhWwa34nuFY/VT9KWkN37LI/AAAAAAAHTv4/g3DNapRZb-Q/s72-c/unnamed.jpg)
Naibu Waziri wa Maji Mh. Amos Makalla kikazi ndani ya jimbo la peramiho-songea.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zhWwa34nuFY/VT9KWkN37LI/AAAAAAAHTv4/g3DNapRZb-Q/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.
10 years ago
MichuziJitu Son atoa baiskeli na kompyuta kwa wananchi wa jimbo lake
10 years ago
Michuzi26 Oct
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA KUTETEA JIMBO LAKE
![PIX 1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PIX-15.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe ametangaza rasmi kuwa atagombea tena katika nafasi ya ubunge kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu ujao na kulitetea jimbo lake. Alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wananchi pamoja na viongozi wa CCM wa Wilaya na Kata ya Mtua, wilayani Nachingwea katika sherehe ya kuwapokea viongozi na wanachama wapya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliojiunga na...
10 years ago
VijimamboMWAKILISHI WA KIKWAJUNI MHE MAHMOUD ATOWA ELIMU YA KATIBA MPYA KWA WANANCHI WA JIMBO LAKE
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Kama ulitamani kumuona Ronaldo akiwa kocha, jibu lake lipo hapa kuhusu hilo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Natambua wadau wengi wa michezo wamekuwa wakitamani kumuona siku moja mchezaji bora wa dunia mara tatu, Cristiano Ronaldo (pichani) akiwa kocha wa klabu yoyote, jibu lipo hapa.
Akizungumza na mtandao wa michezo, El Mundo, Ronaldo alisema kuwa hana mpango wa kuja kuwa kocha na hivyo kumaliza maswali ambayo wadau mbalimbali wa michezo wamekuwa wakijiuliza.
Ronaldo alisema anataka kustaafu kucheza soka ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo lakini hana mpango wa kuwa kocha...