Kama ulitamani kumuona Ronaldo akiwa kocha, jibu lake lipo hapa kuhusu hilo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Natambua wadau wengi wa michezo wamekuwa wakitamani kumuona siku moja mchezaji bora wa dunia mara tatu, Cristiano Ronaldo (pichani) akiwa kocha wa klabu yoyote, jibu lipo hapa.
Akizungumza na mtandao wa michezo, El Mundo, Ronaldo alisema kuwa hana mpango wa kuja kuwa kocha na hivyo kumaliza maswali ambayo wadau mbalimbali wa michezo wamekuwa wakijiuliza.
Ronaldo alisema anataka kustaafu kucheza soka ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo lakini hana mpango wa kuwa kocha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
10 years ago
Bongo503 Sep
Lifahamu jibu la Wakazi kama muziki unamlipa
10 years ago
Michuzi.jpg)
Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...
10 years ago
Bongo517 Sep
Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa
11 years ago
Bongo519 Jul
Tarajia kumuona VJ Penny kama mtangazaji kwenye show kubwa ya TV
9 years ago
Bongo526 Nov
Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!
Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.
Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...
11 years ago
Bongo525 Jul
Kanye West afunga camera kibao kwenye nyumba anayoishi ili kumuona mwanae North hata akiwa ziarani