Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama ulitamani kumuona Ronaldo akiwa kocha, jibu lake lipo hapa kuhusu hilo

cristiano-ronaldo_7643b64nsbft1qzklr9o12n0l_0

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Natambua wadau wengi wa michezo wamekuwa wakitamani kumuona siku moja mchezaji bora wa dunia mara tatu, Cristiano Ronaldo (pichani) akiwa kocha wa klabu yoyote, jibu lipo hapa.

Akizungumza na mtandao wa michezo, El Mundo, Ronaldo alisema kuwa hana mpango wa kuja kuwa kocha na hivyo kumaliza maswali ambayo wadau mbalimbali wa michezo wamekuwa wakijiuliza.

Ronaldo alisema anataka kustaafu kucheza soka ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo lakini hana mpango wa kuwa kocha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa

Swali lililokuwepo kuhusu mjengo wa kifahari ambao mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan ni kama amenunua au amepewa, na tayari mshindi huyo wa $300,000 za Biggy ametoa jibu. Idris amesema mjengo huo ni wa kwake, na ni zawadi kutoka kwa aliyekuwa boss wake: “Sasa hivi nina status flani kwahiyo natakiwa kujiweka vizuri kwasababu ni kioo […]

 

10 years ago

Bongo5

Lifahamu jibu la Wakazi kama muziki unamlipa

Rapper Wakazi amedai kuwa ameanza kuona matunda ya muziki anaoufanya. Akizungumza jana kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wakati akitambulisha wimbo yake mpya PMD, Wakazi alisema kwa sasa anaishi kutokana na matunda ya muziki wake. “Show pamoja na kuuza nyimbo,” alisema. “Sasa hivi Mkito na Mdundo wanatusaidia na hilo ndio lengo kwa […]

 

10 years ago

Michuzi

Makalla aridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi wa jimbo lake kumuona Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia mifugo yao kenye Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.
Kutokana na hali hiyo Mbunge kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji...

 

10 years ago

Bongo5

Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa

Madee amesema hajalitupilia mbali suala la kumrudisha Dogo Janja shule. Hata hivyo amesema anachoangalia kwa sasa ni ujio wa ngoma yake [Dogo Janja] mpya. “Sitaki kusema eti nimeamua kukauka moja kwa moja asirudi shule,” alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio wiki hii. “Vipo vingi ambavyo sasa hivi anaviongelea, ambavyo vipo kwenye plan, lakini […]

 

11 years ago

Bongo5

Tarajia kumuona VJ Penny kama mtangazaji kwenye show kubwa ya TV

Mambo yanazidi kumnyookea Ex wa Diamond Platnumz, Penniel Mungilwa aka VJ Penny kwakuwa licha ya kuvishwa pete na kumponya kidonda alichoachiwa na hitmaker huyo, ameendelea kupata deals baada ya deals. Penny akipitia script ya kipindi Mtangazaji huyo wa redio na runinga, ataanza kuonekana hivi karibuni kwenye show inayohusu filamu za Tanzania itakayoonekana kwenye kituo cha […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.

Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...

 

11 years ago

Bongo5

Kanye West afunga camera kibao kwenye nyumba anayoishi ili kumuona mwanae North hata akiwa ziarani

Kanye West amefunga idadi kubwa ya camera kwenye nyumba yake ili kumchunga na kumuona binti yake, North popote pale duniani. Rapper huyo mwenye miaka 37 amedaiwa kumkera mke wake Kim Kardashian kwa kufunga camera hizo kwenye kila chumba ndani ya nyumba yao ya Los Angeles hadi kwenye bafu ili kuhakikisha anamuona North muda wote. Chanzo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani