Kanye West afunga camera kibao kwenye nyumba anayoishi ili kumuona mwanae North hata akiwa ziarani
Kanye West amefunga idadi kubwa ya camera kwenye nyumba yake ili kumchunga na kumuona binti yake, North popote pale duniani. Rapper huyo mwenye miaka 37 amedaiwa kumkera mke wake Kim Kardashian kwa kufunga camera hizo kwenye kila chumba ndani ya nyumba yao ya Los Angeles hadi kwenye bafu ili kuhakikisha anamuona North muda wote. Chanzo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Oct
Kanye West kumtengenezea mwanae North pete ya ndoa, sasa
Katika kuonesha ni kiasi gani anampenda mwanae, North, Kanye West amepanga kumtengenezea pete ya thamani ya kumvisha kwenye kidole cha ndoa, chanda. Kwa mujibu wa mtandao wa HollywoodLife, Kanye anataka kuwa mtu wa kwanza kumvisha pete hiyo kidoleni kwake. Kanye atamvisha mwanae pete hiyo ya almasi wakati huu akiwa na mwaka mmoja tu. “Yupo kwenye […]
10 years ago
Bongo516 Oct
Kanye West ampiga marafuku mume wa dada yake na Kim Kardashian kumsogelea mwanae North
Baada ya kudaiwa kuwa Kanye West amechukizwa na jinsi mume wa dada yake na Kim, Kourtney Kardashian, Scott Disick anavyoishi na mke wake, kuna tetesi kuwa sasa amempiga marafuku kuwa karibu na mwanae, North. Kanye West akiwa na Scott Disick Kanye West anadai hapendi tabia ya Scott Disick ya kula bata na kukesha baa wakati […]
11 years ago
Bongo522 Jul
Kanye na Kim watumia tshs mil 835 kupata mtoto anayefanana na North West ili kujihami na mapaparazi
Kanye and Kim West hawako tayari kuona maisha ya mtoto wao, North yanaingia hatarani. Kuhakikisha kuwa mtoto wao hawehuki kwasababu ya usumbufu wa mapaparazi, Kanye na Kim wametumia $500,000 (zaidi ya shilingi milioni 835) kupata mtoto anayefanana na wa kwao. North West Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror, mastaa hao wametumia kiasi hicho kikubwa […]
9 years ago
Bongo501 Oct
Hata Kim Kardashian hakujua kama Kanye West ana mpango wa kugombea urais 2020 mpaka alipotangaza kwenye VMA
Taarifa za rapper Kanye West kutaka kugombea urais wa Marekani ifikapo mwaka 2020, hazikuwashangaza watazamaji tu, bali hata mkewe Kim Kardashian hakuwa anafahamu mpaka aliposikia mumewe Kanye akitangaza kwenye tuzo za VMA. Akizungumza kwenye kipindi cha The Ellen DeGeneres Show, mama kijacho Kim K amesema anaamini kuwa mume wake Kanye yuko serious katika uamuzi huo […]
10 years ago
Bongo519 Dec
Kanye West atumia shilingi milioni 125 kumnunuliaa mwanae zawadi za Christmas
Kanye West anadaiwa kutumia $74,000 (zaidi ya shilingi milioni 125) kumnunulia mwanae North zawadi Christmas. Chanzo kimoja kimeliambia jarida la Heat kuwa Kanye alitumia $62,000 kununua tiara (crown) iliyozungushiwa almas pamoja na mdoli wa gari inayofanana na SUV yake alioununua kwa $12,000. Chanzo kingine kimedai kuwa Kanye amepanga kumfanyia mke wake Kim surprise ya nguvu.
11 years ago
Bongo508 Aug
Kanye West ana wasiwasi mwanae ataangukiwa na ‘drones’ zitakazotumiwa na mapaparazzi kupata picha zake!
Kwa mujibu wa Kanye West, Mapaparazzi ni hatari zaidi kuliko hata Nazi! Uoga wake huo wa mapaparazzi umemfanya staa huyo atafute nyumba yenye thamani ya dola milioni 20 ili kuwakwepa wasipate picha za mwanae North. North West Hivi karibuni Kanye alikuwa akihojiwa (deposition) na mawakili wa paparazzi aliyemdunda na kujikuta akitoa kauli iliyowaacha mdomo wazi. […]
10 years ago
Mwananchi17 Jan
PAC yaagiza Wasira aondolewe kwenye nyumba anayoishi
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) kumwondoa katika nyumba ya bodi hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira kutokana na kuishi katika nyumba hiyo kinyume na taratibu.
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI
North West akivutwa akiwa amelala juu ya sanduku la nguo. VIDEO iliyowekwa katika mtandao wa Instagram na Khloe Kardashian ya mtoto wa dada yake, Kim Kardashian aitwaye North West imevutia watu wengi. Angalia video hiyo hapo juu. Video hiyo inamuonyesha North mwenye mwaka mmoja na miezi tisa akivutwa akiwa amelala juu ya sanduku la nguo kuelekea uwanja wa ndege.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania