PAC yaagiza Wasira aondolewe kwenye nyumba anayoishi
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) kumwondoa katika nyumba ya bodi hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira kutokana na kuishi katika nyumba hiyo kinyume na taratibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Barua kumtaka Wasira aachie nyumba ya SBT yatua rasmi PAC
11 years ago
Bongo525 Jul
Kanye West afunga camera kibao kwenye nyumba anayoishi ili kumuona mwanae North hata akiwa ziarani
10 years ago
Habarileo17 Jan
PAC yaagiza marejeo ya sheria ya Bodi ya Sukari
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari kufanya marejeo ya sheria inayoiunda, iruhusu marekebisho yatakayowaondoa wajumbe wenye maslahi binafsi katika masuala yanayohusu uzalishaji na uuzaji sukari.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4pDIlFMgD1g/Xl4xKhWGoXI/AAAAAAABDUk/Tq8x9JPm4nUOWXnLVF2kZQVI6mIzHKlQQCLcBGAsYHQ/s72-c/a4f38e2e-4965-4006-84e3-37ff0f45673a.jpg)
KESI YA KUGOMBEA MALI ZA BILIONEA ULOMI YARUDI MAHAKAMANI KUTAKA MJANE AONDOLEWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4pDIlFMgD1g/Xl4xKhWGoXI/AAAAAAABDUk/Tq8x9JPm4nUOWXnLVF2kZQVI6mIzHKlQQCLcBGAsYHQ/s640/a4f38e2e-4965-4006-84e3-37ff0f45673a.jpg)
Werandumi kupitia Wakili wake,Joseph Ngiloi amewasilisha maombi ya dharura mahakama kuu kanda ya Moshi,kuomba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcWeKHmwohozD2lrLp6wR5PJV2KSRCQMEteacterFIxirecLihR-Etu6Bttzqvy23xp7QKAiYoDQzrSZhpAyKOAl/BACKAMANI.jpg?width=650)
MASKINI BI. CHEKA: MAISHA ANAYOISHI YANASIKITISHA!
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Tabia inaweza kumjengea mtu uwezo wa kuaminiwa katika jamii anayoishi
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Wema atimuliwa kwenye nyumba
Mizigo ikipakizwa kutoka kwenye nyumba hiyo.
Musa Mateja
UFALME umeanguka! Unaweza kusema hivyo! Hatimaye Miss Tanzania 2006, aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu amedaiwa kutimuliwa kwenye nyumba ambayo alipanga kwa mbwembwe na kualika waandishi wa habari ili watoe ‘nyuzi’ hewani, akidai ni yake kwa kuinunua kwa shilingi milioni 280, fuatana na Ijumaa Wikienda.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Wema amekumbwa na kadhia hiyo ya kuhamishwa kwenye nyumba hiyo iliyopo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljzg-rUFTKPawkPQFE4hz8Mvh5s94VIcXfWReeOIsj07C470*FizzS2zyVT2O8beD1JhJ0F8-z0Ga19wzS8XvX*J/mjamzitocopy.jpg?width=650)
MJAMZITO ATIMULIWA KWENYE NYUMBA
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Wizi kwenye nyumba za ibada
WIZI ni tendo la tabia ya kuiba, vivyo hivyo udokozi kwa kuchukua kitu au mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake. Ni kitendo cha kihuni kinachoendana na tabia mbaya, yaani...