Wema atimuliwa kwenye nyumba
Mizigo ikipakizwa kutoka kwenye nyumba hiyo.
Musa Mateja
UFALME umeanguka! Unaweza kusema hivyo! Hatimaye Miss Tanzania 2006, aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu amedaiwa kutimuliwa kwenye nyumba ambayo alipanga kwa mbwembwe na kualika waandishi wa habari ili watoe ‘nyuzi’ hewani, akidai ni yake kwa kuinunua kwa shilingi milioni 280, fuatana na Ijumaa Wikienda.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Wema amekumbwa na kadhia hiyo ya kuhamishwa kwenye nyumba hiyo iliyopo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljzg-rUFTKPawkPQFE4hz8Mvh5s94VIcXfWReeOIsj07C470*FizzS2zyVT2O8beD1JhJ0F8-z0Ga19wzS8XvX*J/mjamzitocopy.jpg?width=650)
MJAMZITO ATIMULIWA KWENYE NYUMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-HoKvkav3sw-8LyW6wQ637clq3Gyjf*YqkcvqZUIQINtl7uG0wbDiRqbCgLo-ZShJElDNjZLUrpUL8sKJFb*qpA3W66sBRwW/FRONTRISASI.jpg?width=650)
ALI KIBA ATIMULIWA KWENYE NYUMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3T62WsfR2ZhnBimLyy0yekPqg-TsBpDonkiWntXfvbSC6rHHAtrOWkgWl4IdnDXWJyN4xPWz-Ud2spJSK0VTyC/AUNTY.gif?width=650)
AUNT ATIMULIWA KWA WEMA!
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Wizi kwenye nyumba za ibada
WIZI ni tendo la tabia ya kuiba, vivyo hivyo udokozi kwa kuchukua kitu au mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake. Ni kitendo cha kihuni kinachoendana na tabia mbaya, yaani...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Tambo za umeme kwenye nyumba za makuti
MAKALA yangu ya Jumatano wiki jana, iliyozungumzia malalamiko kuhusu uteuzi wa baadhi ya wanasiasa wa CCM kuwa mawaziri, ilipokelewa kwa namna tofauti. Wengi zaidi ya asilimia 90 walipongeza nilichokiandika. Watatu...
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Watumishi: VAT iondolewe kwenye nyumba
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Mawaziri, wabunge kutimuliwa kwenye nyumba TBA Dodoma
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa
Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa bomoabomoa inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi waliokubwa na kadhia hiyo wamepaza sauti zao juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakilalamika kuwa hawakupewa taarifa yoyote ya kuwataka wahame eneo hilo kutoka uongozi wa serikali ya mtaa huo.