Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri, wabunge kutimuliwa kwenye nyumba TBA Dodoma

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imefanya uamuzi mgumu wa kuwatimua baadhi ya wapangaji wa nyumba zake zilizopo mjini Dodoma ambao ni wadaiwa sugu, wakiwamo mawaziri saba na wabunge 15.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Wabunge ndiyo wadaiwa wakuu TBA’

Naibu Waziri wa Ujenzi, Greson Lwenge, amesema sehemu kubwa ya wadaiwa wa Wakala wa Majengo nchini (TBA)mji wa Dodoma ni wabunge.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mradi wa TBA wa ujenzi wa nyumba 10,000 za watumishi wa umma washika kasi

1

Jengo la gorofa 8 lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 lililojengwa na wakala wa Majengo Tanazania (TBA) Katika eneo la Ada Estate Kinondoni Jijini Dar es salaam ambalo litapangishwa kwa watumishi wa umma mara litakapokamilika mwishoni mwa mwaka huu ikiwa ni moja ya hatua za Serikali kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma.

2

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa mbele ya  moja ya nyumba za Majaji zinazojengwa na TBA wakati wa ziara yao katika  eneo la Masaki jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UJENZI AKAGUA MIRADI YA NYUMBA ZA TBA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (wakwanza kulia) akipiga makofi mara baada ya kufungua nyumba za makazi ya Watumishi wa Umma zilizoko Mbezi Beach (E-NMC) jijini Dar es Salaam. Wa tatu kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akifatiwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Arch. Elius Mwakalinga.Nyumba ya Makazi ya Watumishi wa Umma ilioko Mbezi Beach (E-NMC) jijini Dar es Salaam kama linavyoonekana.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akitoka kufanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wawalipua mawaziri

Bunge limeendelea kuwa moto kwa viongozi wakati wabunge wakiwalipua mawaziri, huku wakimtaka Waziri wa Fedha, Saada Mkuya kufukuzwa kutokana na kukiuka Katiba na kumrushia bomu Lazaro Nyalandu kuwa anazunguka nje ya nchi na msichana kwa madai ya kutangaza utalii.

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA DAVID MISIME - SACP AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WAMILIKI WA HOTELI NA NYUMBA ZA KULALA WAGENI MKOANI DODOMA

Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME (SACP) amewataka wamiliki wa Hotel na Nyumba za kulala wageni (Guest House) kuhakikisha kwamba wageni wanaotarajia kuingia mkoani humo ambao ni wajumbe wa bunge la Katiba linalotarajia kuanza tarehe 18/02/2014 wanakuwa salama katika kipindi hiki.   Amesema hayo katika ukumbi wa Dodoma Hotel alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara ambao ni wamiliki wa Hotel...

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu awalipua mawaziri, wabunge

>Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu jana amewalipua baadhi ya mawaziri na wabunge kwa kugeuka ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Faida ya wabunge kutokuwa mawaziri

Dodoma.  Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, John Chiligati amesema mabadiliko ya Katiba yatakayofuta haki ya mbunge kuwa Waziri, yataongeza uwajibikaji kwa umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani