Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAC yaagiza marejeo ya sheria ya Bodi ya Sukari

Mwenyekiti wa PAC, Kabwe ZittoKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari kufanya marejeo ya sheria inayoiunda, iruhusu marekebisho yatakayowaondoa wajumbe wenye maslahi binafsi katika masuala yanayohusu uzalishaji na uuzaji sukari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

PAC yaagiza Wasira aondolewe kwenye nyumba anayoishi

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) kumwondoa katika nyumba ya bodi hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira kutokana na kuishi katika nyumba hiyo kinyume na taratibu.

 

10 years ago

Mwananchi

CAG akague Bodi ya Sukari- Waziri Chiza

Serikali imemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kukagua Bodi ya Sukari ili kubaini kama kuna aliyehusika kutoa kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa mwaka 2013/14.

 

10 years ago

Michuzi

Breaking Newwzzzzzz: Kaimu MKurugenzi WA TPDC na Mwenyekiti wake wa Bodi watupwa rumande kufuatia kushindwa kuwasilisha mikataba 26 kwa PAC.

Taarifa zilizotufikia hivi punde ndani ya chumba cha habari cha Globu ya Jamii,kinaleleza kuwa kaimu Mkurugenzi wa TPDC,Bwa.James Andilile na Mwenyekiti wake wa bodi Bwa.Michael Mwanda wamepelekwa rumande kwa kosa la kutowasilisha mikataba 26 kwa kamati ya bunge la  hesabu za mashirika ya umma PAC,kamati imeagiza wapelekwe huko na hatua zichukuliwe dhidi yao.
Kikosi kazi cha Globu ya Jamii kipo kazini kuifuatilia taarifa hii,hivyo tuendelea kupitia pitia hapa jamvini kupata...

 

10 years ago

Habarileo

Sheria 33 kufumuliwa, imo ya Bodi ya Mikopo

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imepokea Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014, unaopendekeza kuzifanyia marekebisho sheria 33, ambao pia utawasilishwa katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Novemba 4, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Bodi yalilia mabadiliko Sheria ya Ununuzi

Bodi ya Barabara Mkoa wa Arusha imeliomba Bunge kufanya marekebisho ya Sheria ya Ununuzi wa Umma.

 

5 years ago

Habarileo

Bodi yataka dola kusimamia sheria ya ujenzi

MWENYEKITI wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Ujenzi (AQRB), Dk Ambwene Mwakyusa amewaomba makamanda wa polisi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa kusimamia Sheria Namba 4 ya Mwaka 2010 inayohusu masuala ya ujenzi.

 

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Mwananchi

Mwezeshe mwanao kufanya marejeo ya masomo yake

Kama mzazi au mlezi umewahi kufikiria umuhimu wa kumwanzisha mtoto wako kwenye mapango wa masomo ya ziada?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani