CAG akague Bodi ya Sukari- Waziri Chiza
Serikali imemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kukagua Bodi ya Sukari ili kubaini kama kuna aliyehusika kutoa kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa mwaka 2013/14.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9rRTOkRbvyg/VGIf_r1X-tI/AAAAAAAGwlg/LAI5UDbEwSc/s72-c/1....jpg)
UBADHIRIFU KATIKA TASINIA NDOGO YA TUMBAKU WAZIRI CHIZA AKABIDHI RIPOTI YA CAG
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...
11 years ago
Habarileo13 Aug
'CAG akague matumizi Bunge Maalum'
WAJUMBE wa Bunge Maalamu la Katiba, kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu kwenye matumizi ya fedha za bunge hilo, ili kubaini ufujaji wa fedha usio halali.
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Chiza kufunguka sakata la uingizwaji sukari leo
SIKU moja baada ya Tanzania Daima kuripoti kuhusu sakata la sukari inayoozea katika maghala ya kiwanda cha Kilombero mkoani Morogoro, hatimaye Waziri wa Kilimo na Chakula, Mhandisi Christopher Chiza, amesema...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Chiza aipa changamoto Bodi Rubada
WAJUMBE wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada) wametakiwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika kipindi chao cha miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI CHIZA AWASILI OFISI YA WAZIRI MKUU
10 years ago
Habarileo17 Jan
PAC yaagiza marejeo ya sheria ya Bodi ya Sukari
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari kufanya marejeo ya sheria inayoiunda, iruhusu marekebisho yatakayowaondoa wajumbe wenye maslahi binafsi katika masuala yanayohusu uzalishaji na uuzaji sukari.
10 years ago
Habarileo16 Mar
Bodi ya Mikopo na CAG kushirikiana
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imepanga kushirikiana na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika kuhakikisha kunakuwapo uwajibikaji wa waajiri katika urejeshaji wa mikopo.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa
11 years ago
Mwananchi15 May
CAG ahoji wabunge kuendelea na ujumbe wa bodi