Chiza kufunguka sakata la uingizwaji sukari leo
SIKU moja baada ya Tanzania Daima kuripoti kuhusu sakata la sukari inayoozea katika maghala ya kiwanda cha Kilombero mkoani Morogoro, hatimaye Waziri wa Kilimo na Chakula, Mhandisi Christopher Chiza, amesema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Dec
CAG akague Bodi ya Sukari- Waziri Chiza
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Cwnjy_Szn3g/VlmpOMMgCXI/AAAAAAAII0A/L8zgkUKQGI0/s72-c/31af8fc1-eba3-42bf-aaa4-89b0ce2d35a6.jpg)
RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MAHONDA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cwnjy_Szn3g/VlmpOMMgCXI/AAAAAAAII0A/L8zgkUKQGI0/s640/31af8fc1-eba3-42bf-aaa4-89b0ce2d35a6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qAkzitlKsVE/VlmpOAY40II/AAAAAAAII0E/TxANfVaslu4/s640/34b14eb1-5da1-44df-9799-67fcf19919e4.jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sakata ya Escrow leo jioni
10 years ago
Habarileo10 Feb
Mtuhumiwa sakata la Escrow kizimbani leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo inatarajia kumsomea maelezo ya awali Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4 ambazo ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LG4v1FKIM7m5iM9CW5UmoWZhPdUQHzjMJK44piQPTHbsn3TVX7-ejwfgTaT-ZJ8k-QfbFxlMFMS3voyJgi9TY8S3EN3phk9X/escrow.jpg)
MJADALA WA SAKATA AKAUNTI YA ESCROW BUNGENI LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
11 years ago
Habarileo23 Mar
Vijana watakiwa ‘kufunguka' kifikra
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Mafunzo na Ufundi Stadi (VETA), Zebadiah Moshi amewataka vijana wa kitanzania kufunguka kifikra na kuchangamkia fursa, hususan zile za kimataifa zilizo mbele yao, ambazo pamoja na mambo mengine zinahitaji kasi, viwango, stadi na ujuzi unaoendana na soko la kimataifa kulingana na mahitaji ya sasa.
10 years ago
MichuziSAKATA LA ASKOFU GWAJIMA, MAASKOFU KUTINGA KWA IGP LEO KUMUOMBEA MSAMAHA