CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG), Profesa Mussa Assad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) nafasi atakayoanza kuitumikia kuanzia Januari Mosi, mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCAG AHUDHURIA KIKAO CHA BODI YA WAKAGUZI WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
MichuziCAG AONGOZA KIKAO CHA BODI YA UKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6upQF5sYoO0/VIg593l9wTI/AAAAAAAG2V4/icy1llwwUhQ/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
CAG AHUDHURIA KIKAO CHA BODI YA WAKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6upQF5sYoO0/VIg593l9wTI/AAAAAAAG2V4/icy1llwwUhQ/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CyJrRBUu_ys/VIg599ivD7I/AAAAAAAG2WE/InGdv07QU24/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
10 years ago
Habarileo16 Mar
Bodi ya Mikopo na CAG kushirikiana
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imepanga kushirikiana na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika kuhakikisha kunakuwapo uwajibikaji wa waajiri katika urejeshaji wa mikopo.
11 years ago
Mwananchi15 May
CAG ahoji wabunge kuendelea na ujumbe wa bodi
10 years ago
Mwananchi13 Dec
CAG akague Bodi ya Sukari- Waziri Chiza
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa