Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa
Umoja wa Mataifa umeunda kamati huru kuchunguza kashfa ya udhalilishaji watoto nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
UMOJA WA AFRIKA KUCHUNGUZA DAWA YA CORONA YA MADAGASCAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s640/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar
![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s640/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi na uchunguzi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar
10 years ago
Habarileo27 Sep
Kikwete anguruma Umoja wa Mataifa
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na wanachama wote wa Umoja wa Mataifa (UN) kufikia makubaliano ya malengo mapya ya maendeleo baada ya malengo ya awali (Malengo ya Milenia- MDG) kufikia hatima yake mwaka wa kesho.
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...
10 years ago
VijimamboTASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kikwete apongezwa Umoja wa Mataifa
UMOJA wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutoa uraia wa Tanzania kwa waliokuwa wakimbizi 162,156 wa Burundi.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa