Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar
![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
Umoja wa Afrika (AU) unafanya mazungumzo na Jamuhuri ya Madagascar, ili kupata data za kiufundi kuhusu usalama na ufanisi wa dawa ya mitishamba iliyotangazwa hivi karibuni ambayo ilidai inazuwia na kutibu Covi-19.
AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi na uchunguzi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
UMOJA WA AFRIKA KUCHUNGUZA DAWA YA CORONA YA MADAGASCAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s640/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Senegal yakanusha kuagiza dawa ya mitishamba kutoka Madagascar
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_TC1iDkUOLk/XtFLb--XwZI/AAAAAAALsA8/T9EEsUiZEa0e1LY9gFB_DVP2sm3ORSFlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200529-WA0082.jpg)
MTAFITI WA DAWA ZA MITISHAMBA AIOMBA SERIKALI KUICHUNGUZA DAWA YAKE YA CORONA ALIYOIGUNDUA.
Mtafiti wa Dawa za asili aliyejulikana kwa jina la Rose Roberty (changa Muja) ameiomba Serikali kumsaidia kupima dawa aliyogundua na kuifanyia majaribio kuona kama inatibu ugonjwa wa Corona (Covid-19)
Akiongea na waandishi wa habari leo nyumbani kwake,Rose alieleza kuwa ameweza kugundua dawa ambayo inaweza ikatibu ugonjwa huu ambao unaotikisa dunia ,na anaimani kabisa dawa hiyo itaweza kuponya ugonjwa huo.
Alisema dawa hiyo inatokana na mchanganyiko wa miti shamba...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Kushuka kwa elimu Afrika Mashariki, dawa ni umoja
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: 'Sina mpango wa kuanzisha sindano za dawa ya mitishamba', asema Rajoelina
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Umoja wa Mataifa kuchunguza kashfa