UMOJA WA AFRIKA KUCHUNGUZA DAWA YA CORONA YA MADAGASCAR

Umoja wa Afrika (AU) unafanya mazungumzo na Jamuhuri ya Madagascar, ili kupata data za kiufundi kuhusu usalama na ufanisi wa dawa ya mitishamba iliyotangazwa hivi karibuni ambayo ilidai inazuwia na kutibu Covi-19.
AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi na uchunguzi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar
5 years ago
Michuzi
Umoja wa Afrika kuchunguza ufanisi wa dawa ya mitishamba ya Madagascar

AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
5 years ago
CCM BlogTANZANIA YAPEWA NA MADAGASCAR MSAADA WA DAWA YA CORONA
5 years ago
MichuziMADAGASCAR YAIPATIA TANZANIA MSAADA WA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo wakati akipokea msaada...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Tanzania yapokea shehena ya 'Dawa' ya Madagascar
5 years ago
MichuziWAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI MADAGASCAR KUCHUKUA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi wa kulia akinywa dawa ya kutibu ugonjwa wa virusi vya corona
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Mhe. Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kutibu na kukinga ugonjwa wa COVID-19...
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Senegal yakanusha kuagiza dawa ya mitishamba kutoka Madagascar
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa yaongezeka Madagascar licha ya kuwa na 'dawa'