MADAGASCAR YAIPATIA TANZANIA MSAADA WA DAWA YA CORONA
Tanzania imesema haijalegalega wala kujitenga katika kupambana na maradhi ya COVID – 19 na badala yake imetoa uongozi madhubuti katika kuratibu na kuunda timu ya wataalamu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC kuandaa muongozo na utaratibu wa kukabiliana na ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kutafuta njia za kupunguza nguvu ama kuleta tiba ya COVID – 19.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo wakati akipokea msaada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogTANZANIA YAPEWA NA MADAGASCAR MSAADA WA DAWA YA CORONA
5 years ago
CCM BlogTANZANIA HAIJALEGALEGA KATIKA KUPAMBANA NA CORONA, YAPATA MSAADA WA DAWA KUTOKA MADAGASCAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi ameyasema hayo wakati akipokea msaada wa dawa...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: DAWA YA CORONA AMBAYO MADAGASCAR IMETOA MSAADA KWA TANZANIA NI KWA AJILI YA UTAFITI
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Tanzania yapokea shehena ya 'Dawa' ya Madagascar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
UMOJA WA AFRIKA KUCHUNGUZA DAWA YA CORONA YA MADAGASCAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-FjC5wpIr2sE/XrJkH0GlG1I/AAAAAAALpSQ/2OzXxtxjenUEaLJdhV6xmHvnXRXT3jL-gCLcBGAsYHQ/s640/_112156177_530d9425-26b8-40c1-b8dd-c3e13ed85728.jpg)
AU imesema kuwa Kamishna wa tume ya Umoja wa Afrika inayohusika na masuala ya kijamii Amira ElFadil alifanya mazungumzo na balozi wa Madagascar nchini Ethiopia Eric Randrianantoandro tarehe 30 April na wameafikiana kuwa nchi wanachama wataupatia maelezo muhimu Muungano wa Afrika...
5 years ago
MichuziWAZIRI PROF. KABUDI AWASILI NCHINI MADAGASCAR KUCHUKUA DAWA YA CORONA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi wa kulia akinywa dawa ya kutibu ugonjwa wa virusi vya corona
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar Mhe. Tehindrazanarivelo Djacoba As Oliva mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Antananarivo kwa ajili ya kupokea msaada wa dawa ya kutibu na kukinga ugonjwa wa COVID-19...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHQOOIaxXs/XrZ33guAaTI/AAAAAAALpis/34kXtbihc9Qu5RbCtxuZOdFN3ifuK6gDwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B11.17.22.jpeg)
PROF. KABUDI KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA DAWA YA CORONA YA MADAGASCAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHQOOIaxXs/XrZ33guAaTI/AAAAAAALpis/34kXtbihc9Qu5RbCtxuZOdFN3ifuK6gDwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B11.17.22.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-a93KFujMV_w/XrZ33gRtfhI/AAAAAAALpiw/E8dQAiWGr38rQTcdy2pG0O5Xmdy5N-d9wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B11.17.28.jpeg)
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba