CAG AHUDHURIA KIKAO CHA BODI YA WAKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6upQF5sYoO0/VIg593l9wTI/AAAAAAAG2V4/icy1llwwUhQ/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Mussa Juma Assad na ambaye kwa wadhifa wake ni Mkaguzi wa Hesabu za Umoja wa Mataifa akiwa na baadhi wa wasaidizi wake katika Kikao cha Bodi ya Wakaguzi wa Umoja wa Mataifa kilichofanyika jana ( Jumanne) Hapa Umoja wa Mataifa.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali mwenye tai nyekundu akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Bodi ambaye pia ni Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu kutoka Uingereza aliyekuwa akimkaribisha kwenye Bodi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCAG AHUDHURIA KIKAO CHA BODI YA WAKAGUZI WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
MichuziCAG AONGOZA KIKAO CHA BODI YA UKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Agathon Rwasa ahudhuria kikao cha bunge
10 years ago
VijimamboKITUO CHA HABARI CHA UMOJA WA MATAIFA WASHIRIKI ALHAMISI YA BURUDANI NA KIKUNDI CHA MTANDAO WA VIJANA TEMEKE
Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jana iliandaa Alhamisi ya Burudani kwa ajili ya kujifunza kazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa. Kwa kila Alhamis ya mwisho wa mwezi Kituo cha...
10 years ago
Michuzi16 Mar