CAG ahoji wabunge kuendelea na ujumbe wa bodi
 Mapendekezo ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ya kuitaka Serikali kutowateua wabunge kuwa wajumbe wa bodi za mashirika ya umma, hayajatekelezwa kwa miaka mitatu mfululizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Mar
Bodi ya Mikopo na CAG kushirikiana
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imepanga kushirikiana na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika kuhakikisha kunakuwapo uwajibikaji wa waajiri katika urejeshaji wa mikopo.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
CAG kuongoza Bodi ya Umoja wa Mataifa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG), Profesa Mussa Assad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) nafasi atakayoanza kuitumikia kuanzia Januari Mosi, mwakani.
10 years ago
Mwananchi13 Dec
CAG akague Bodi ya Sukari- Waziri Chiza
Serikali imemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kukagua Bodi ya Sukari ili kubaini kama kuna aliyehusika kutoa kibali cha kuagiza sukari kutoka nje kwa mwaka 2013/14.
10 years ago
MichuziCAG AONGOZA KIKAO CHA BODI YA UKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6upQF5sYoO0/VIg593l9wTI/AAAAAAAG2V4/icy1llwwUhQ/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
CAG AHUDHURIA KIKAO CHA BODI YA WAKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6upQF5sYoO0/VIg593l9wTI/AAAAAAAG2V4/icy1llwwUhQ/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CyJrRBUu_ys/VIg599ivD7I/AAAAAAAG2WE/InGdv07QU24/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
10 years ago
VijimamboCAG AHUDHURIA KIKAO CHA BODI YA WAKAGUZI WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wabunge wawe wamoja mijadala kuhusu Ripoti ya CAG, Mahakama ya Kadhi
Bunge jana lilianza mkutano wake wa 18 mjini Dodoma likiwa na masuala mengi mazito katika ajenda yanayopaswa kujadiliwa katika muda mfupi tu wa wiki mbili. Hicho ni kikao chake cha kwanza mwaka huu, ambacho kinakuja baada ya mkutano wake wa 16/17 uliofanyika Novemba mwaka jana na kugubikwa na mjadala mkali kuhusu uchotwaji wa fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow. Baadhi ya watendaji serikalini wamefikishwa mahakamani, huku mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa Serikali wakijiuzulu.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4_9aGk7qRfw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KMlqNjwKVxA/VUInCSGp6iI/AAAAAAAHURE/La2MQlP51kk/s72-c/IMG_49590.jpg)
DKT. SHEIN AKUTANA NA Ujumbe wa Bodi ya TRA, IKULU ZANZIBAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KMlqNjwKVxA/VUInCSGp6iI/AAAAAAAHURE/La2MQlP51kk/s1600/IMG_49590.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DQt2FVap74g/VUInDj4YxxI/AAAAAAAHURQ/_QQQfw4jRbs/s1600/IMG_49760.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hbg717cW-ak/VUInBoWPVqI/AAAAAAAHURA/yJzgm5C4WzY/s1600/IMG_4996.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania