Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwezeshe mwanao kufanya marejeo ya masomo yake

Kama mzazi au mlezi umewahi kufikiria umuhimu wa kumwanzisha mtoto wako kwenye mapango wa masomo ya ziada?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Masomo ya ziada yana nafasi katika maendeleo ya mwanao shuleni

Kama mzazi au mlezi umewahi kufikiri umuhimu wa kumwanzisha mtoto wako kwenye mapango wa masomo ya ziada.

 

11 years ago

Mwananchi

Msaidie mwanao kufikia malengo yake ya baadaye

Wakati watoto wanakua, mara nyingi huanza kupanga mipango yao ya baadaye pia huchagua kazi ambayo wangependa kufanya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wahitimu 130 wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), watunukiwa tuzo kwa kufanya vizuri kwenye masomo

 Onesmo Charles ambaye ni mmoja wa wanafunzi 130 waliofanya vizuri katika masomo katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), akijaribu kifaa cha kisasa cha kupimia ardhi, viwanja na ramani za nyumba alichozawadiwa Kampuni ya Hightech Systems (T) Limited katika hafla ya kuwakabidhi zawadi na tuzo wanafunzi hao bora  iliyofanyika katika chuo hicho leo ikiwa ni sehemu ya mahafali ya nane ya chuo hicho yatakayofikia kilele kesho kutwa Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.

 Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mradi wa Mwanamke Mwezeshe wa WAMA wakopesha wanachama wa vikundi vya Hisa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9

img_08581

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda  – Maelezo , Nachingwea

Jumla ya mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 zimetolewa kwa wanachama wa vikundi vya kukopa na kuweka akiba vilivyopo chini ya mradi wa Mwanamke Mwezeshe unaosimamiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA).

Hayo yamesemwa na  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za kuadhimisha mwaka mmoja wa kuanzishwa kwa vikundi vya mradi wa Mwanamke...

 

10 years ago

Habarileo

PAC yaagiza marejeo ya sheria ya Bodi ya Sukari

Mwenyekiti wa PAC, Kabwe ZittoKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeiagiza Bodi ya Sukari kufanya marejeo ya sheria inayoiunda, iruhusu marekebisho yatakayowaondoa wajumbe wenye maslahi binafsi katika masuala yanayohusu uzalishaji na uuzaji sukari.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Mwananchi

NINAPODADAVUA: Haya ni marejeo ya historia, hakuna litakalozidi wala kupungua

Katika si-hasa (siasa) hakuna cha kustaajabisha. Kuingia chamani au kutoka ni jambo la kawaida. Katika yote hayo kinachojadiliwa zaidi ni sababu za kutoka, kuliko kuingia.

 

10 years ago

Bongo5

Ajali yamfanya Mr Nice aahirishe kufanya video yake South

Mr Nice amesema amelazimika kuahirisha mpango wake wa kushoot video yake nchini Afrika Kusini kutokana na ajali aliyopata kumsababishia kukaa kitandani kwa zaidi ya miezi mitatu. Mr Nice amesema kabla ya siku ya ajali alikuwa yupo kwenye maandalizi ya kwenda nchini humo. “Ajali ndo imesababisha haya yote ila mimi naona hakijaharika kitu, wiki ijayo naanza […]

 

11 years ago

GPL

MIRROR WA ENDLESS FAME KUFANYA YAKE NDANI YA THE PLAYLIST YA TIMES FM JUMAPILI HII

Mwimbaji wa Bongo Flava anaefanya kazi chini ya kampuni ya Endless Fame ya Wema Sepetu, Mirror aka Kioo atakuwa katika kipindi cha The Playlist cha 100.5 Times Fm Jumapili hii (June 1). Mkali huyo wa ‘Baby’ ambaye hivi sasa ameachia pini jipya alilolibatiza jina la ‘Kolokolo’ atazicheza ngoma tano kali anazozipenda zaidi na kuzielezea, pia atajibu maswali ya kichokozi yaliyonyooshwa na rula ya Omary...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani