Lifahamu jibu la Wakazi kama muziki unamlipa
Rapper Wakazi amedai kuwa ameanza kuona matunda ya muziki anaoufanya. Akizungumza jana kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wakati akitambulisha wimbo yake mpya PMD, Wakazi alisema kwa sasa anaishi kutokana na matunda ya muziki wake. “Show pamoja na kuuza nyimbo,” alisema. “Sasa hivi Mkito na Mdundo wanatusaidia na hilo ndio lengo kwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Kama ulitamani kumuona Ronaldo akiwa kocha, jibu lake lipo hapa kuhusu hilo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Natambua wadau wengi wa michezo wamekuwa wakitamani kumuona siku moja mchezaji bora wa dunia mara tatu, Cristiano Ronaldo (pichani) akiwa kocha wa klabu yoyote, jibu lipo hapa.
Akizungumza na mtandao wa michezo, El Mundo, Ronaldo alisema kuwa hana mpango wa kuja kuwa kocha na hivyo kumaliza maswali ambayo wadau mbalimbali wa michezo wamekuwa wakijiuliza.
Ronaldo alisema anataka kustaafu kucheza soka ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo lakini hana mpango wa kuwa kocha...
9 years ago
Bongo508 Sep
Cliff Mitindo asema angeacha muziki kama haulipi
9 years ago
Bongo521 Dec
Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi
![Mshiriki wa BBA Julio](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/Mshiriki-wa-BBA-Julio-200x133.jpg)
Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.
Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.
“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSnLb0wCzCwNWMTESldEn1kghI3WPXFXJKLkoe2H-2bdfVTxXvDsQa7-I4KElhgplWRhg3TqLe02Ea*kYz7-GFkG/150000080.jpg)
HONGERA GENIUS NIKKI, MUZIKI UNAHITAJI VICHWA KAMA WEWE!
9 years ago
Bongo506 Nov
Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.
Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.
“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...
9 years ago
Bongo528 Dec
Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii
![don jazzy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/don-jazzy-300x194.jpg)
Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.
Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.
This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. #OneLagosFiesta for now sha.
— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015
Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...
9 years ago
Bongo514 Dec
Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
![MasterJ](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/MasterJ-300x194.jpg)
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...
10 years ago
CloudsFM20 Nov
ALLY KIBA AFUNGUKA MADAI YA KUTOMTUMIA R KELLY KAMA FURSA KWENYE MUZIKI WAKE
Mkali wa ngoma ya Mwana DSM, Ally Kiba kama unakumbuka alishiriki kwenye project ya One 8, ambayo baadhi ya wasanii wakubwa barani Afrika waliteuliwa na kwenda nchini Marekani wakakaa studio moja na msanii wa kimataifa R Kelly, ambaye aliwaandikia ngoma ya Hands Across The World na Wakai Record.
Ndani ya ngoma hiyo kuna sauti za wasanii kama 2face, Ali Kiba, Amani, Navio, JK, Movaizhaleine, Fally Ipupa. Project hiyo ilisimamiwa na Rock Star 4000, na Sony Music.
Sasa zengwe limeibuka hivi...