HONGERA GENIUS NIKKI, MUZIKI UNAHITAJI VICHWA KAMA WEWE!
![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSnLb0wCzCwNWMTESldEn1kghI3WPXFXJKLkoe2H-2bdfVTxXvDsQa7-I4KElhgplWRhg3TqLe02Ea*kYz7-GFkG/150000080.jpg)
KWAKO Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ mambo niaje? Uko poa? Za tangu wiki iliyopita tulipoonana kwenye tafrija ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete? Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Niko poa, naendelea na mishemishe zangu kama kawaida. Miongoni mwa majukumu yangu ni hili la kuwaandikia nyinyi mastaa barua, kuwapongeza au kuwakosoa pale mnapotoka nje ya mstari. Dhumuni la kukukumbuka leo kwa barua hii ni kutaka...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Oct
Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni
9 years ago
Bongo528 Sep
Inspekta Haroun: Muziki unahitaji mapambano, sijakata tamaa
10 years ago
Bongo509 Jan
Nay Wa Mitego: Hawa wanaosanda gemu, watuachie muziki wetu, dongo kwa Nikki Mbishi?
10 years ago
Bongo528 Feb
Nikki Mbishi atoa sababu za kubadili uamuzi wa kuacha muziki, kutoa wimbo mpya March 4
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
10 years ago
Vijimambo12 Feb
SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-WPJ0bg7t96c%2FVNvrtRDp90I%2FAAAAAAADX9A%2FxlqJMB0yLW0%2Fs1600%2F10360708_10153092524539931_1510697460399436003_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-49rQ8ntwIZU%2FVNvrsm6zSJI%2FAAAAAAADX88%2FnwUv9wJmZ-I%2Fs1600%2F10958320_1043578015671542_1098316409749736956_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
CloudsFM17 Aug
Kama wewe upo Kahama hii inakuhusu...
HIVI NI BAADHI YA VITUO VINAVYOUZA TIKETI ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA KUANZIA MUDA HUU:
Uwanjani kutakuwa na gari moja, Bijampora kutakuwa na gari moja, Fantoni kutakuwa na gari moja, Stendi kuu kutakuwa na gari moja, Galaxy/Social/Chila kutakuwa na gari moja.
TAADHARI:
Kinywaji cha aina yeyote ile kutoka nje ya eneo la uwanja wa kahama hakitaruhusiwa kuingia.. Huduma ya chakula na vinywaji kutoka Serengeti Breweries Limited vitapatikana kwa wingi.
Pia yeyote mwenye umri chini ya miaka 18...
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
Kama Wewe ni Mwanandoa, Usome Hapa Uchunguzi wa JB
Kuna mabadiliko makubwa mwanaume anayapata akifika umri wa miaka 40.nazungumzia kupevuka kwa akili,maamuzi yenye hekima,busara ,uvumilivu n.k.katika uchunguzi wangu ndoa nyingi zenye wanaume chini ya umri wa40 zina misuko suko sana. nawashauri wanawake wawavumilie wanaume hawa kwani baada ya muda wanakuwa bora zaidi....Maoni
Jacob Stephen ‘@jb_jerusalemfilms’ on Instagram
10 years ago
Bongo516 Oct
Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa