Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni
Msemaji wa kundi la Weusi Nickson Simon a.k.a Nikki Wa Pili ni miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la Fiesta 2014 kwenye viwanja vya Leaders, Dar Jumamosi October 18 akiwa na Joh Makini, Lord Eyez na G-Nako. Nikki ambaye pia hakupitwa na show za wasanii wengine alikuwa na machache ya kusema kwa kile alichokiona kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Aug
NIKKI WA PILI : Zaidi ya mwanamuziki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSnLb0wCzCwNWMTESldEn1kghI3WPXFXJKLkoe2H-2bdfVTxXvDsQa7-I4KElhgplWRhg3TqLe02Ea*kYz7-GFkG/150000080.jpg)
HONGERA GENIUS NIKKI, MUZIKI UNAHITAJI VICHWA KAMA WEWE!
9 years ago
Bongo530 Nov
Nikki Wa Pili: Najipanga kufanya video kubwa ya ‘Baba Swalehe’ na director mkubwa wa nje
![Nikk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nikk-300x194.jpg)
Baada ya Joh Makini kufanya video mbili (Nusu Nusu na Don’t Bother), na G-Nako kufanya video moja (Original) Afrika Kusini na muongozaji Justin Campos, sasa ni zamu ya Nikki kufanya video na muongozaji huyo ambaye ameonekana kukubalika sana na wasanii wengi wa Bongo wanaomkimbilia kufanya naye kazi kwa sasa.
Rapa wa Weusi Nikki Wa Pili ameieleza Bongo5 kuwa anajiandaa kufanya video kubwa ya wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’, na mpango wake ni kufanya na director wa nje.
“Baba Swalehe’...
10 years ago
Bongo509 Jan
Nay Wa Mitego: Hawa wanaosanda gemu, watuachie muziki wetu, dongo kwa Nikki Mbishi?
10 years ago
Bongo528 Feb
Nikki Mbishi atoa sababu za kubadili uamuzi wa kuacha muziki, kutoa wimbo mpya March 4
9 years ago
Bongo502 Nov
Muziki wa Eminem unaweza kukuongezea nguvu — Utafiti
![eminem-1-736x414](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/eminem-1-736x414-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo514 Dec
Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania
![beka](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/beka-300x194.jpg)
Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.
“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Muziki wa zamani bado ni lulu DRC
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-k2oXEa-oY1c/VE0ZCLyffKI/AAAAAAADLYw/buq2JVuRvaI/s72-c/Heri_Promo_1%5B1%5D.jpg)
Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k2oXEa-oY1c/VE0ZCLyffKI/AAAAAAADLYw/buq2JVuRvaI/s1600/Heri_Promo_1%5B1%5D.jpg)