Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa
Kuwa mjinga katika ufanyaji wako wa mambo Wewe kama ni msanii umekuwa ukifikiri watu wanapenda kuchelewa kwako kufika kwenye show ambayo umealikwa, unapoteza thamani ya kazi yako.Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba watu wanataka kukuona kwa wakati uliotajwa, na wanategemea uimbe kwa kiwango cha juu bila kuwafanyia ujinga au kuimba na kufanya show chini ya viwango. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Nov
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?
9 years ago
Bongo524 Aug
Vitu unavyotakiwa kujua kabla ya kuanzisha biashara yako
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd6629PdJPW*S3PNWEwd0mQ61-bIlOh-i4Rour6K3Yl7Q8goygBrGy4*DjnPbODWOY--q4QG1c7Jk89nAAJtnKdxBh/msanii.jpg?width=650)
MSANII AKOMBA VITU KWA BWANA’KE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9EBNRU09fff6ngFMzjjsbDURB0PQT0jJLC5dAD6GRfuMxNlweTdvfhE5ocqsxiDaKyzWUT2KvHOfg3gTeHRi6cJ/Love.jpg?width=650)
WEWE NDIYE MWENYE MPINI WA NDOA YAKO
10 years ago
Bongo Movies30 Jul
Shamsa Ford:Mchawi wa Maisha Yako ni Wewe Mwenyewe
NIDHAMU ni silaha kubwa katika maisha.kuna ambao Mungu aliwabariki kwa nafasi zao lakini hawakuweza kutumia nafasi zao vizuri kwasababu ya kukosa nidhamu.walihisi wao ni bora kuliko wengine ndo maana walibarikiwa.
Mwisho wa siku wakishapotea au mambo kwenda tofauti na walivyokuwa wanadhania wanaanza kulaumu watu.Wengine wataingia hadi kwenye ushirikina kwa kusemwa wamerogwa..Mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe...MUWEKE MUNGU MBELE,KUWA MVUMILIVU,ACHA TAMAA,FANYA KAZI KWA BIDII, PENDA...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun39NFztjmgXLbOEUUS-ZvR7SnUqDN-Fyf9xJUNZShxHpVyvr7EpDlrCuWbyIeDURHgviQfTwNx-4aS*xjHcGITp/download.jpg?width=650)
DUDE; USIINGIZE SANAA KWENYE NDOA YAKO
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Nguvu ya sanaa inazidi msanii
9 years ago
Bongo525 Aug
Ommy Dimpoz ataja vitu ambavyo muziki wa Uganda ni zaidi ya Tanzania