Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nguvu ya sanaa inazidi msanii

Kama kuna eneo linaloweza kufukisha ujumbe kwa urahisi kwenye jamii, basi ni sanaa. Kwani kwa kupitia viunga vyake ujumbe hupenya kwa haraka zaidi kufika kule ulikokusudiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tamthilia inayoonyesha nguvu katika sekta ya sanaa ya maigizo

‘Ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa studio ya kupiga picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi, aliyemzalia watoto wawili wenye afya, huku akiwa na ujauzito wa mtoto wa tatu,’ Hii ni sehemu ya kwanza ya tamthilia hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kioo cha jamii ni sanaa au msanii?

Kuna kipindi nilikuwa mbishi nikitaka kubadilisha nilichokikuta katika dunia, niliamini kabisa walichosema babu zangu ndiyo sahihi, bila kuupa ubongo wangu nafasi ya kufikiri. Leo nakiri kwamba kipind fulani nilikuwa mjinga.

 

10 years ago

GPL

MASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII

Katibu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Godfrey Ndimbo akizungumza na wanahabari hawapo pichani. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Denis Mango, Katibu Godfrey Ndimbo, Peter Mwendapole na Mkurugenzi, Godfrey Katula wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Fatuma Makongoro (Bi Mwenda), Msanii aliyetukuka kwenye sanaa ya uigizaji Tanzania

Bi Mwenda ni mzaliwa wa Mara Wilaya ya Bunda kijiji cha Ikwizu Nyamuswa, ni mtoto wa Mtemi Makongoro, ambaye alikuwa rafiki na ndugu wa yamini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Anasema katika maisha yake wakati yupo darasa la tano mpaka anamaliza alikuwa akiishi Ikulu jijini Dar es Salaam, na alihamishiwa Shule ya Msingi Kinondoni iliyo karibu na Mahakama ya Kinondoni. Wakati huo wenzake walikuwa wakisoma Shule ya Mwenge na kupelekwa na gari.

Bi Mwenda, anasema alijiingiza kwenye michezo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ahaidi kusimamia kazi za Wasanii kwa nguvu zote

nape-7939

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na wadau mbalimbali kutoka BASATA,COSOTA,BODI YA FILAMU,CMEA NA WASANII jana jijini Dar es Salaam juu ya kuendelea kusimamia haki ya wasanii  na kuhakikisha kila msanii anapata anachostahili kupitia Sanaa yake na kwamba serikali  imeweka nguvu kubwa katika eneo hilo.

waziri wa viwanda-7920

Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage (kulia) akiongea waandishi wa habari kuhusu vyombo vya habari(television na Redio) kuanza kulipia...

 

10 years ago

Bongo5

Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa

Kuwa mjinga katika ufanyaji wako wa mambo Wewe kama ni msanii umekuwa ukifikiri watu wanapenda kuchelewa kwako kufika kwenye show ambayo umealikwa, unapoteza thamani ya kazi yako.Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba watu wanataka kukuona kwa wakati uliotajwa, na wanategemea uimbe kwa kiwango cha juu bila kuwafanyia ujinga au kuimba na kufanya show chini ya viwango. […]

 

10 years ago

GPL

BURUDANI YA NGUVU TOKA KWA YAMOTO BAND SIKU YA MSANII

Kundi la Yamoto Band wakitoa burudani Siku ya Msanii usiku wa leo Mlimani City jijini Dar.…

 

9 years ago

Michuzi

JUKWAA LA SANAA LAFANA, MSANII MKONGWE AISHIYE MAREKANI SALMA MOSHI AWALIPIA WASANII BIMA YA AFYA


Jukwaa La Sanaa la BASATA wiki hii lilipata wazungumzaji wa aina yake na kulifanya kuwa jukwaa lililochangamka na kuwa na mazungumzo ya zaidi ya masaa matano. Wasanii takriban 70 walikaa wakichambua maada mbalimbali kuhusu mustakhabari wa sanaa katika nchi yetu. Jambo ambalo liliingiza changamoto katika jukwaa hili, ni kuweko katika meza kuu wasanii wawili ambao walianza sanaa nchini na hatimae kuhamia ughaibuni ambako ndiko wanaishi kwa sasa.
Wasanii Salma Moshi aliyekuwa akijulikana kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa

Ukifikiria umoja, halafu ukitaka kuleta ubinafsi ndani yake, huku ukiangalia dhana yenyewe kwa juu juu unaweza ukahisi unachanganya mambo, lakini ukikaa kwa umakini na kuzitekeleza dhana hizi kwa utaratibu, utajikuta kwenye mafanikio makubwa sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani