Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kioo cha jamii ni sanaa au msanii?

Kuna kipindi nilikuwa mbishi nikitaka kubadilisha nilichokikuta katika dunia, niliamini kabisa walichosema babu zangu ndiyo sahihi, bila kuupa ubongo wangu nafasi ya kufikiri. Leo nakiri kwamba kipind fulani nilikuwa mjinga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nguvu ya sanaa inazidi msanii

Kama kuna eneo linaloweza kufukisha ujumbe kwa urahisi kwenye jamii, basi ni sanaa. Kwani kwa kupitia viunga vyake ujumbe hupenya kwa haraka zaidi kufika kule ulikokusudiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mandela ni kioo cha viongozi wote duniani

MARAIS na viongozi wote duniani, ni muhimu wakajipima na kujitazama mwenendo na sura ya utawala walionao kwa kujiangalia kwa kupitia baba wa taifa la Afrika Kusini na nembo ya Afrika,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Nchi inapojiangalia kwenye 'Kioo Cha CCM'

MAJUZI pale Viwanja vya Furahia Mwanza, tulionyeshwa kupitia runinga, CCM ikiongozwa na Katibu wa

Maggid Mjengwa

 

10 years ago

GPL

MASHIRIKISHO YA SANAA TANZANIA YAUNGA MKONO SIKU YA MSANII

Katibu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Godfrey Ndimbo akizungumza na wanahabari hawapo pichani. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Sanaa na Maonyesho Tanzania, Denis Mango, Katibu Godfrey Ndimbo, Peter Mwendapole na Mkurugenzi, Godfrey Katula wakiwa meza kuu.…

 

11 years ago

GPL

Messi avunja kioo cha mlango Taifa, Polisi wamvaa

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ (kulia) akipambana na mchezaji wa Coastal Union. Hans Mloli na Lucy Mgina
HALI ya hewa imezidi kuchafuka ndani ya Simba ambayo imekutana na kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jana, lakini kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ alienda mbele zaidi baada ya kipigo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Fatuma Makongoro (Bi Mwenda), Msanii aliyetukuka kwenye sanaa ya uigizaji Tanzania

Bi Mwenda ni mzaliwa wa Mara Wilaya ya Bunda kijiji cha Ikwizu Nyamuswa, ni mtoto wa Mtemi Makongoro, ambaye alikuwa rafiki na ndugu wa yamini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Anasema katika maisha yake wakati yupo darasa la tano mpaka anamaliza alikuwa akiishi Ikulu jijini Dar es Salaam, na alihamishiwa Shule ya Msingi Kinondoni iliyo karibu na Mahakama ya Kinondoni. Wakati huo wenzake walikuwa wakisoma Shule ya Mwenge na kupelekwa na gari.

Bi Mwenda, anasema alijiingiza kwenye michezo...

 

10 years ago

Bongo5

Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa

Kuwa mjinga katika ufanyaji wako wa mambo Wewe kama ni msanii umekuwa ukifikiri watu wanapenda kuchelewa kwako kufika kwenye show ambayo umealikwa, unapoteza thamani ya kazi yako.Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba watu wanataka kukuona kwa wakati uliotajwa, na wanategemea uimbe kwa kiwango cha juu bila kuwafanyia ujinga au kuimba na kufanya show chini ya viwango. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani