Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi avunja kioo cha mlango Taifa, Polisi wamvaa

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ (kulia) akipambana na mchezaji wa Coastal Union. Hans Mloli na Lucy Mgina
HALI ya hewa imezidi kuchafuka ndani ya Simba ambayo imekutana na kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jana, lakini kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ alienda mbele zaidi baada ya kipigo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ronaldo avunja rekodi ya Messi

Christiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji mabao mengi katika ligi ya mabingwa barani Uropa

 

10 years ago

BBCSwahili

Messi avunja rekodi ya kombe la Ulaya

Tunamuangazia Lionel Messi aliyevunja rekodi ya mabao mengi katika dimba la vilabu bingwa Ulaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Kioo cha jamii ni sanaa au msanii?

Kuna kipindi nilikuwa mbishi nikitaka kubadilisha nilichokikuta katika dunia, niliamini kabisa walichosema babu zangu ndiyo sahihi, bila kuupa ubongo wangu nafasi ya kufikiri. Leo nakiri kwamba kipind fulani nilikuwa mjinga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mandela ni kioo cha viongozi wote duniani

MARAIS na viongozi wote duniani, ni muhimu wakajipima na kujitazama mwenendo na sura ya utawala walionao kwa kujiangalia kwa kupitia baba wa taifa la Afrika Kusini na nembo ya Afrika,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Nchi inapojiangalia kwenye 'Kioo Cha CCM'

MAJUZI pale Viwanja vya Furahia Mwanza, tulionyeshwa kupitia runinga, CCM ikiongozwa na Katibu wa

Maggid Mjengwa

 

9 years ago

StarTV

Rais avunja bodi ya Hosptali ya taifa ya Muhimbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amevunja Bodi ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kukutana na hali ya kumsikitisha

Rais amemteua Prof. Lawrence Mseru , kukaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Muhimbili kuanzia leo tarehe 10 Novemba, 2015.

Dkt. Hussein L. Kidanto ambaye ndiye anayekaimu hivi sasa, amehamishiwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambako atapangiwa kazi nyingine.

Pia...

 

10 years ago

Mwananchi

Simwanda avunja rekodi ya Gaga kuchezea Taifa Stars

Kinda chipukizi wa Taifa Stars, Emmanuel Simwanda anayechezea African Lyon ameweka rekodi binafsi baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza kuitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.Mara ya mwisho mchezaji asiye kwenye ligi  kucheza kwenye timu ya Taifa ilikuwa mwishoni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani