Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSANII AKOMBA VITU KWA BWANA’KE

Stori: Mayasa Mariwata, Deogratius Mongela
MSANII wa filamu Bongo, Fatma Leonard wiki iliyopita alinaswa na paparazi wetu akihamisha vitu vya ndani nyumbani kwa mpenzi wake huko Ubungo Makuburi jijini Dar es Salaam akidai kuchoshwa na maisha bila ndoa. Hata hivyo, gazeti hili lilikuta tayari mzigo wa fenicha umeshaondoka. Msanii wa filamu Bongo, Fatma Leonard akifungasha virago kuianza safari. “Nimemvumilia kwa muda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Bongo5

Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa

Kuwa mjinga katika ufanyaji wako wa mambo Wewe kama ni msanii umekuwa ukifikiri watu wanapenda kuchelewa kwako kufika kwenye show ambayo umealikwa, unapoteza thamani ya kazi yako.Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba watu wanataka kukuona kwa wakati uliotajwa, na wanategemea uimbe kwa kiwango cha juu bila kuwafanyia ujinga au kuimba na kufanya show chini ya viwango. […]

 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

9 years ago

Mtanzania

Dennis akomba milioni 50/- za TMT

DENNISUKILALA masikini unaamka tajiri, ndivyo ilivyokuwa kwa mwigizaji chipukizi, Denis Lwasai, aliyewahi kufanyakazi na marehemu Steven Kanumba, baada ya usiku wa kuamkia jana kuibuka na kitita cha shilingi milioni 50 alizopata baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT).

Katika shindano hilo, washiriki 10 waliingia fainali na kisha kuchezeshwa wawili wawili katika igizo lililokuwa likionyesha unyenyekevu wakati wa kuomba kazi. Hata hivyo, washiriki wote 10 wataigiza...

 

11 years ago

GPL

FLORA AKOMBA KILA KITU

Stori: Waandishi Wetu MACHOZI upya! Habari halali kwa ubongo wako zinaeleza kwamba wakati mumewe, Emmanuel Mbasha (32) alipokuwa mahabusu, Dar kati ya Juni 15 hadi 17, mwaka huu, staa wa Gospo Bongo, Flora Mbasha (31) anadaiwa kwenda nyumbani na kukomba vitu vya ndani kuvipeleka kusikojulikana. Sehemu ya chumba cha kupumzikia kilichobakiwa na kochi na… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Vitu Vingi Huwa Naiga Kutoka kwa Baba

Leo ikiwa ni siku ya Kina baba ‘Father’s Day’, ambapo wakinababa duniani kote husherekea kila mwaka inapofika tarehe kama hii ya leo.

Mastaa na watu wengi wakawaida wamewatakia furaha na kujivunia baba zao, Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ni moja ya mastaa waliowapongeza na kumtakia baba yake furaha kwenye siku hii ya leo kwa kuweka picha akiwa na baba yake kwenye ukurasa wake mtandaoni  na kueleza kuwa toboa kuwa kuna vitu vingi sana huwa ana jaribu kuviiiga kutoka kwa baba yake...

 

10 years ago

Michuzi

HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.

Naomba unipe nafasi nitoe maoni yangu kuhusu Uraia pacha nikijbu maoni yaliyoandikwa kwenye gazeti la mwananchi na bwana Humphrey Polepole. Maoni yake yamenishangaza sana na mtu huyu anaonekana ana hujuzi kidogo katika mambo ya uandishi na ameamua kutumua ujuzi wake kudanganya watu kuhusu swala hili la urahia pacha kwa watanzania.

Napenda iheleweke kwamba urahia pacha sio kitu kigeni Tanzania. Kimsingi na kimazingira Tanzania inaruhusu urahia pacha. 
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...

 

10 years ago

Michuzi

MH. LOWASSA ATUA KIGOMA LEO, AKOMBA WADHAMINI 11,250

Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiusalimia umati wa wanaCCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma, wakati alipowasili kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Kigoma, kusaka wadhamini wa kumsainia fomu za kupata ridhaa za Chama kuwania Urais wa Tanzania. Mh. Lowassa amedhaminiwa na wanaCCM 11,250 wa Mkoa wa Kigoma, leo Juni 13, 2015.Umati wa WanaCCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma, ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Kigoma, kuja kumuona Mh. Edward Lowassa (anaeonekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani