MSANII AKOMBA VITU KWA BWANA’KE
![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd6629PdJPW*S3PNWEwd0mQ61-bIlOh-i4Rour6K3Yl7Q8goygBrGy4*DjnPbODWOY--q4QG1c7Jk89nAAJtnKdxBh/msanii.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata, Deogratius Mongela MSANII wa filamu Bongo, Fatma Leonard wiki iliyopita alinaswa na paparazi wetu akihamisha vitu vya ndani nyumbani kwa mpenzi wake huko Ubungo Makuburi jijini Dar es Salaam akidai kuchoshwa na maisha bila ndoa. Hata hivyo, gazeti hili lilikuta tayari mzigo wa fenicha umeshaondoka. Msanii wa filamu Bongo, Fatma Leonard akifungasha virago kuianza safari. “Nimemvumilia kwa muda...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Bongo516 Oct
Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Dennis akomba milioni 50/- za TMT
UKILALA masikini unaamka tajiri, ndivyo ilivyokuwa kwa mwigizaji chipukizi, Denis Lwasai, aliyewahi kufanyakazi na marehemu Steven Kanumba, baada ya usiku wa kuamkia jana kuibuka na kitita cha shilingi milioni 50 alizopata baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT).
Katika shindano hilo, washiriki 10 waliingia fainali na kisha kuchezeshwa wawili wawili katika igizo lililokuwa likionyesha unyenyekevu wakati wa kuomba kazi. Hata hivyo, washiriki wote 10 wataigiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoa-AbXZBShdUB1CPoCoOO0duzXL7rdRyZrRIKmSrfw8HdlVBhp1y10ghB1H8nfCKe0yH*gGnawnoUYrAJV-gQ0O/FRONTAMANI.jpg?width=650)
FLORA AKOMBA KILA KITU
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
JB: Vitu Vingi Huwa Naiga Kutoka kwa Baba
Leo ikiwa ni siku ya Kina baba ‘Father’s Day’, ambapo wakinababa duniani kote husherekea kila mwaka inapofika tarehe kama hii ya leo.
Mastaa na watu wengi wakawaida wamewatakia furaha na kujivunia baba zao, Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ni moja ya mastaa waliowapongeza na kumtakia baba yake furaha kwenye siku hii ya leo kwa kuweka picha akiwa na baba yake kwenye ukurasa wake mtandaoni na kueleza kuwa toboa kuwa kuna vitu vingi sana huwa ana jaribu kuviiiga kutoka kwa baba yake...
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EOBiEL-iTxM/VXwsS8oh5PI/AAAAAAAHfLY/kZkfC8I0S6g/s72-c/MMGL1037.jpg)
MH. LOWASSA ATUA KIGOMA LEO, AKOMBA WADHAMINI 11,250
![](http://2.bp.blogspot.com/-EOBiEL-iTxM/VXwsS8oh5PI/AAAAAAAHfLY/kZkfC8I0S6g/s640/MMGL1037.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gJSNNSkI3nY/VXwyVuz_orI/AAAAAAAHfNA/3riVbZIJNUQ/s640/MMGL0922.jpg)