Dennis akomba milioni 50/- za TMT
UKILALA masikini unaamka tajiri, ndivyo ilivyokuwa kwa mwigizaji chipukizi, Denis Lwasai, aliyewahi kufanyakazi na marehemu Steven Kanumba, baada ya usiku wa kuamkia jana kuibuka na kitita cha shilingi milioni 50 alizopata baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT).
Katika shindano hilo, washiriki 10 waliingia fainali na kisha kuchezeshwa wawili wawili katika igizo lililokuwa likionyesha unyenyekevu wakati wa kuomba kazi. Hata hivyo, washiriki wote 10 wataigiza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTMT 2015 YAELEWEKA KWA DENNIS LASWAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZfCksCNfKU4/Vdl8CTz0sSI/AAAAAAAAh7w/9Y67CJz9c0c/s640/denis1.jpg)
9 years ago
GPLDENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015
10 years ago
GPL23 Sep
KUTANA NA MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnN3XB3RRFsB8gEzqvs0guFDoy-bR5-QUh08kzridOZIrr5*Ofmd5Lp7quzs0d917KzpYuwCUZLVoLwwVzIcLFW/breakingnews.gif)
MWANAAFA NDIYE MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT
10 years ago
GPLKINARA WA TMT, MWANAAFA MWINZAGO ALIVYOONDOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 50
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
Mwanaafa Mwinzago aibuka Kinara wa shindano la TMT 2014 na kuondoka na kitita cha shilingi Milioni 50 za Kitanzania
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza akitoa neno kwa wadau waliojitokeza kushuhudia fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililokuwa pia likirushwa live kupitia Kituo Cha Runinga cha ITV.
Mwanaafa Mwinzago (katikati) akishangilia Mara baada ya kutangazwa Mshindi wa Kitita Cha Milioni 50 za Kitanzania katika Fainali ya Kumsaka Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City na...
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Washiriki 20 wa shindano la TMT waingia rasmi kambini jana usiku, tayari kwa safari ya kuwania Milioni 50
Muonekano wa TMT House ambayo washiriki 20 wa Shindano la Tanzania Movie Talents wameweka kambi rasmi kuanzia jana Usiku kwa mchakato wa kuwania Milioni 50 katika fainali itakayofanyika Mwishoni mwa Mwezi wa nane.
Mmoja kati ya Washindi watatu kutoka Kanda ya Kusini, Mwanaafa Mwizago akiingia rasmi kambini hapo jana wakati wakitokea kwenye matembezi. Washiriki wote 20 ambao ni washindi kutoka Kanda sita za Tanzania sasa wapo kambini kwaajili ya kujifua ili kuwania kitita cha Shilingi...
11 years ago
GPLWASHIRIKI 20 WA SHINDANO LA TMT WAINGIA RASMI KAMBINI JANA USIKU, TAYARI KWA SAFARI YA KUWANIA MILIONI 50
10 years ago
MichuziMWANAAFA MWINZAGO AIBUKA KINARA WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014 NA KUONDOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 50 ZA KITANZANIA