KUTANA NA MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT
Mshindi wa shilingi milioni 50 za shindano la Tanzania Movie Talents (TMT), Mwanaafa Mwinzago akifanyiwa 'Exclsive Interview' katika studio za Global TV Online baada ya kushinda kitita hicho.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKnN3XB3RRFsB8gEzqvs0guFDoy-bR5-QUh08kzridOZIrr5*Ofmd5Lp7quzs0d917KzpYuwCUZLVoLwwVzIcLFW/breakingnews.gif)
MWANAAFA NDIYE MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Washiriki 10 wa shindano la TMT wafanikiwa kuingia fainali, mshindi mmoja kuondoka na milioni 50 katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 30 mwezi huu
Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie talents (TMT) wakati ilipokua ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwajibika katika Jukwaa la Ukumbi wa Makumbusho ya...
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Mshindi wa TMT kupokelewa Arusha leo
YULE msanii wa maigizo chipukizi aliyeshinda milioni 50 katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT), Denis Lwasai, anatarajiwa kuwasili jijini Arusha leo akitokea jijini Dar es Salaam ambako shindano hilo lilifanyika.
Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili, mshindi huyo anatarajiwa kuanzia msafara wake kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa KIA asubuhi ambapo watu mbalimbali wameombwa kufika kwa ajili ya kumpongeza mshindi huyo pamoja na kupiga naye picha za kumbukumbu.
Mshindi...
9 years ago
GPLDENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/tmtv.jpg)
FAINALI SHINDANO LA TMT, MSHINDI KUANDIKA HISTORIA
9 years ago
VijimamboMSHINDI WA TMT 2015 #MPAKAKIELEWEKE APOKELEWA KWA NDEREMO MJINI MOSHI
9 years ago
MichuziMSHINDI WA TMT 2015 MPAKA KIELEWEKE APOKELEWA KWA NDEREMO MJINI MOSHI
Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
GPLMSHINDI WA TMT 2015 MPAKAKIELEWEKE APOKELEWA KWA NDEREMO MJINI MOSHI
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Dennis akomba milioni 50/- za TMT
UKILALA masikini unaamka tajiri, ndivyo ilivyokuwa kwa mwigizaji chipukizi, Denis Lwasai, aliyewahi kufanyakazi na marehemu Steven Kanumba, baada ya usiku wa kuamkia jana kuibuka na kitita cha shilingi milioni 50 alizopata baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT).
Katika shindano hilo, washiriki 10 waliingia fainali na kisha kuchezeshwa wawili wawili katika igizo lililokuwa likionyesha unyenyekevu wakati wa kuomba kazi. Hata hivyo, washiriki wote 10 wataigiza...