Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cliff Mitindo asema angeacha muziki kama haulipi

Rapper Cliff Mitindo amesema kama muziki wa Hip Hop ungekuwa haumlipi angekwisha achana nao. Cliff aliyepo kwenye maandalizi ya video ya wimbo wake mpya, ‘Natamani’, ameiambia Bongo5 kuwa anaona muziki wake una nafasi kubwa katika soko la muziki hapa nchini. “Unajua soko la bidhaa kadhaa, kila bidhaa ina watu wake,” amesema. “Kiukweli muziki wa Hip […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Cliff Mitindo Ft Ciana — Complicated

Video mpya kutoka kwa rapper Cliff Mitindo akimshirikisha Ciana wimbo unaitwa “Complicated” video imeongozwa na Kevin Bosco Kutoka Kenya

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema 2015 ataendelea kufanya muziki kama ‘Sugua Gaga’ baada ya wimbo huo kumpa mafanikio

Mwimbaji Shaa amesema kuwa baada ya ‘Sugua Gaga’ kufanikiwa kumtambulisha kimataifa mwaka jana (2014), ana mpango wa kuendelea kufanya nyimbo za aina hiyo mwaka huu. Shaa ambaye video ya Sugua Gaga ilifanikiwa kuwa video ya msanii wa Tanzania iliyotazamwa zaidi mwaka jana kwenye mtandao wa Youtube, amekiri kuwa hakutarajia mafanikio hayo wakati anautoa wimbo huo. […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Picha bora za Afrika wiki hii: Muziki, ukame na mitindo

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali ya Afrika

 

10 years ago

GPL

IYANYA ASEMA BILA MUZIKI ANGEKUWA MFANYABIASHARA

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Iyanya.
Lagos Nigeria
TANGU aliposhinda mashindano ya kwanza ya kutafuta mwanamuziki mwenye kipaji ambayo yalitayarishwa na kampuni moja kubwa ya mawasiliano, Inyanya, mwanamuziki wa Nigeria na mtunzi wa wimbo wa ‘Kukere’ amekuwa ‘gumzo la mjini’. Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha MTV, mwanamuziki huyo kutoka jimbo la Cross River aliyepandishwa chati na...

 

9 years ago

Habarileo

Hakuna kama Dk Magufuli, asema Mkapa

WATANZANIA wameelezwa kuwa katika wagombea wote ambao wameidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea pekee ambaye anafaa kuiongoza Tanzania ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

9 years ago

Bongo5

Lifahamu jibu la Wakazi kama muziki unamlipa

Rapper Wakazi amedai kuwa ameanza kuona matunda ya muziki anaoufanya. Akizungumza jana kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wakati akitambulisha wimbo yake mpya PMD, Wakazi alisema kwa sasa anaishi kutokana na matunda ya muziki wake. “Show pamoja na kuuza nyimbo,” alisema. “Sasa hivi Mkito na Mdundo wanatusaidia na hilo ndio lengo kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Ali Choki asema muziki anaopenda zaidi kusikiliza ni Hip Hop

choki

Muimbaji wa muziki wa dansi nchini, Ali Choki a.k.a mzee wa farasi ameweka wazi kuwa katika maisha yake ya kila siku anapenda zaidi kusikiliza muziki wa Hiphop kuliko aina yoyote nyingine ya muziki.

Choki

Ali Choki alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Weekend Breakfast ya East Africa Radio siku ya Jumapili, Choki amedai hata siri kubwa ya uandishi wake pamoja na visa anavyokuwa anaimba vinatokana na kusikiliza sana muziki wa Hip Hop hasa zaidi kwa rappers kutoka nje.

“Unajua kitu ambacho...

 

9 years ago

Bongo5

Siasa na uchaguzi vimeleta nuksi kwenye muziki, asema rapper huyu

Cliff Mitindo

Msanii wa muziki wa Hip hop, Cliff Mitindo amesema kampeni za uchaguzi za mwaka huu zimesababisha wasanii wengi kushindwa kufikia malengo waliojiwekea.

Cliff Mitindo

Akizungumza na Bongo5 leo, Cliff amesema hali hiyo imesabisha biashara ya muziki kuyumba kutokana na wateja wao wengi ambao ni mashabiki kuwa busy na siasa.

“Mwaka huu kiukweli kutokana na masuala ya kampeni biashara imeyumba. Kwa sababu kitu ambacho kilikuwa kinasikika ni siasa tu, watu walikuwa wana ratiba za kufanya mambo yao lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani